Social Icons

Wednesday 30 November 2011

Ubwa Salum Ajifua Kumkabili Mustafa Dotto Desemba 25


Bondia Ubwa Salum (Mwenye bukta ya bluu) na Omari Bayi wakioneshana umwamba wa kutupa masubwi wakati wa Mazoezi ya Kambi ya Ilala Dar es salaam jana Ubwa anajiandaa na mpambano wake na Mustafa Doto Desemba 25 mwaka huu.
Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments: