Social Icons

Monday 11 February 2013

NILIPATA KUTEMBELEA JAMAA ZANGU SALIM CHUMA, MALICKY BOAZ PAMOJA NA STUDIO ZA DIGITAL VIBES NA KUKUTANA NA PRODUCER GQ, ILIKUWA NI BAB KUBWA. MOROGORO

 Hapa nikiwa Na mtu mzima Salim Chuma ambaye Pia ni Blogger wa CHUMA BLOG kutoka Moro
 Huku ni Mitaa ya Morogoro Na Salim Chuma
 Hapa ilikuwa ni Balaa ambapo mtu mzima Malicky Boaz Mzee wa Zeee la Misemo na Salim Chuma wakiwa maeneo yao ya Kujidai
 Ni Bonge la moja wa Ukodaki ambapo Kushoto nimesimama mimi mwenyewe anafuata Malicky Boaz kisha Salim Chuma
 Chuma ametisha hapa anablogisha popote
 Nikiwa ndani ya Studio za Digital Vibes hapa nikifanya mambo ya Kuendeleza Libeneke kama kawa 
 Hapa nikiwa na Mtu mzima Producer GQ ndani ya Digital vibes Jamaa huyu ni Mtata sana katika mambo ya music aiseee
 Majembeeeeeee!!!!!!
Ohoooo kumbe na mimi nina Pozi za Kiproducer

No comments: