Ikiwa una Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo au Habari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com.
|
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe
(kulia) akimkaribisha Balozi mpya wa Misri, Mhe. Yasser Ahmed Al Eldin
Elshawaf katika ofisi yake. Balozi Mpya wa Misri alikuja ofisini kwa
Mhe. Waziri kwa ajili ya kuwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho |
|
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe
akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mpya wa
Misri, Mhe. Yasser Ahmed Al Eldin Elshawaf |
|
Waziri Membe akishikana mkono na Balozi mpya wa Misri mara baada ya kupokea Nakala za Hati za Utambulisho.
|
|
Waziri Membe akiangalia na kufurahia zawadi aliyokabidhiwa na Balozi mpya wa Misri |
|
Waziri Membe akiagana na Balozi mpya wa Misri nara baada ya zoezi la kuwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kukamilika |
No comments:
Post a Comment