Social Icons

Thursday 22 October 2015

BALOZI MPYA WA MISRI AWASILISHA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO

Ikiwa una Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo au Habari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (kulia) akimkaribisha Balozi mpya wa Misri, Mhe. Yasser Ahmed Al Eldin Elshawaf katika ofisi yake. Balozi Mpya wa Misri alikuja ofisini kwa Mhe. Waziri kwa ajili ya kuwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mpya wa Misri, Mhe. Yasser Ahmed Al Eldin Elshawaf
Waziri Membe akishikana mkono na Balozi mpya wa Misri mara baada ya kupokea Nakala za Hati za Utambulisho.
Waziri Membe akiangalia na kufurahia zawadi aliyokabidhiwa na Balozi mpya wa Misri
Waziri Membe akiagana na Balozi mpya wa Misri nara baada ya zoezi la kuwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kukamilika

No comments: