Social Icons

Monday 12 October 2015

MAKAMU WA RAIS-MAZINGIRA BINILITH MAHENGE ATEMBELEWA NA MABALOZI WA UTURUKI LEO

Ikiwa una Tukiko lolote au Habari yoyote usisite kutumia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiukaribisha ujumbe wa Mabalozi waliotembelea Ofisini kwake wakiongozwa na Balozi wa Sweden Bi. Katarina Rangnitt Ujumbe huo ulifika kwa ajili ya kuzungumzia maswala ya mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Nchi za zinazoendelea.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiongea jambo na Balozi wa Sweden Bi. Katarina Rangnitt   aliyeongoza Ujumbe wa Mabalozi waliofika Ofisini kwake leo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akimsikiliza  Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Bi. Yasemin Eralp aliyekuja Ofisini kwake kujitambulisha mapema leo.


 Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Bi. Yasemin Eralp akisaini kitabu cha Wageni mara baada ya kumtembelea Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.



No comments: