Social Icons

Friday 23 October 2015

NMB MOSHI WATOA KIFUNGUA KINYWA KWA WATEJA WAO.‏

Ikiwa una Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo au Habari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com.
Baadhi ya wateja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Moshi mjini wa wakipata kifungua kinywa katika tawi la Benki hiyo leo asubuhi.
Baadhi ya wateja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Moshi mjini wa wakipata chai ya asubuhi iliyoandaliwa na matawi ya Benki hiyo ya Nelson Mandela na Mawenzi yaliyopo mjini Moshi,
Mmoja wa wafanyakazi wa Benki hiyo akisaidia kutoa huduma ya chai kwa wateja waliofika katika tawi la Nelson Mandela kwa ajili ya kupata kifungua kinywa leo Asubuhi.
Mwakilishi wa Meneja wa Benki ya NMB kanda ya Kaskazini,Lameck Kehenga  akipata kifungua kinywa pamoja na watawa kutoka shule ya sekondari ya Anuarite.
Meneja Huduma kwa wateja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela,Andrew Msonga akibadilishana mawazo na baadhi ya wateja waliofika katika tawi hil kwa ajili ya kifungua kinywa kilichoandaliwa na Benki hiyo mahususi kwa wateja wake.
Meneja wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela ,Moshi mjini akifurahia jambo na wateja waliofika katika tawi hilo kwa ajili ya kupata chai iliyoandaliwa na Benki hiyo.
Wateja walifika katika matawi ya Benk hiyo lile la Nelson Mandela na Mawenzi wamepata fursa ya kuonja keki iliyoandaliwa kwa ajili yao.
Meneja huduma kwa wateja wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela,Andrew Msonga akizungumza jambo wakati wa tukio hilo lililofanyika katika tawi hilo.
Wafanyakazi wa Benki hiyo wakifurahia na wateja wao.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala ni miongoni mwa wateja walifika kupata kifungua kinywa katika tawi la Nelson Mandela.
Meneja wa Benki ya NMB ,tawi la Nelson Mandela Moshi mjini,Emanue Kishosha akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala kuelekea katika meza kwa ajili ya kupata kifungua kinywa.
RC Makala na Meneja wa NMB,Kishosha wakipata kifungua kinywa.
Baadhi ya wafayakazi wa NMB tawi la Nelson Mandela wakizungumza na wateja wao.
Mazungumzo yakiendelea wakati wa kupata kifungua kinywa.
Mwakilishi wa Meneja wa NMB ,kanda ya Kaskazini,Lameck Kehanga akizungumza jambo marabaada ya kumaliza kupata kifungua kinywa.
Menea wa NMB ,tawi la Nelson Mandela, Emanuele Kishosha akitoa maelezo mafupi wapi Benki ya NMB imetokaa wapi ilipo sasa.
Baadhi ya wateja walifika kwa ajili ya kuapata kifungua kinywa wakifuatilia maelezo ya Meneja wa Benki hiyo.
Meneja wa Mamlaka ya Mapatao Tanzania mkoa wa Kilimanjaro,Abdalah Mapembe alikuwa ni mmoja wateja walifika katika shughuli hiyo.
Baadhi ya wateja wa Benki ya NMB,
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akizungumza mara baada ya kupata kifungua kinywa katika tawi la benki hiyo la Nelson Mandela.
Keki iliyoandaaliwa maalumu kw aajili ya wateja.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki hiyo wa matawi ya Nelson Mandela na Mawenzi mjni Moshi.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akiwaongoza viongozi na wawakilishi wa wateja wa benki hiyo kukata keki.
Keki akiandaliwa vipande kwa ajili ya kugawiwa kwa wateja waliofika katika tawi hilo.
Meneja wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela,Emanuel Kishosha  akimlisha keki Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala katka hafla hiyo.
Meneaja wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela,Emanuel Kishosha akimlisha keki Mwenyekiti wa baraza la Biashara la Benki hiyo.
Meneja wa Benki ya NMB,tawi la Nelson Mandela,Emanuel Kishosha akimlisha keki ,Rose Masalu Dede kwa niaba ya wateja wa benki hiyo.
Watumishi wa Benki hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na badhi ya wateja wa benki hiyo.
Wateja wa benki ya NMB wakiiingia katika tawi hilo leo asubuhi.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.

No comments: