Ikiwa una Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo au Habari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com.
Kulia ni Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla Mbuya, akiwa na Mume wake Mtarajiwa Sillah Mbuya wakati wa siku ya Sendoff
Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla Akiwa katika ubora wake
Wasimamizi wake nao walikuwa wamewaka sana
Burudani ikiendelea Ukumbini
Huu ndio Mwonekano wa ukumbi wa River side
Maids wakiwa wametangulia kabla ya bibi harusi mtarajiwa hajaingia Ukumbini
Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla akiingia ukumbini
Wakisalimia
Kwa Heshima na Taadhima Ancilla akingojea Maelekezo
Bado wakiwa wanangoja maelekezo
Ukafika wakati wa Kufungua Shampen kila mtu anatazama tukio linaendaje
Wanawasiliana kidogo na msimamizi wake
Wanaendelea kungoja hapa Shampeni ifunguliwe Kushoto Ancilla Akigonga Cheers na Mpambe wake Judith
Sasa anaendelea Kukata Keki pamoja na Mpambe wake
Kushoto ni Baba Mzazi wa Acilla na Mama Mzazi wakiwa katika Sherehe ya Kumuaga mtoto wao.
Wa kwanza kulia ni Mama Mzazi wa Sillah Mbuya na wa Kati kati ni Baba Mzazi wa Sillah Mbuya Mzee Mbuya
Picha kidogo ya Kumbukumbu
Mwenyekiti wa kamati akitoa neno
Keki zikasambazwa .... Mc Makame akitoa maelekezo kwa Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla
Ancilla akitambulisha upande wa Familia yake
Wazazi wakipunga Mkono
Utambulisho ukiendelea
Haya sasa ndo hivyo Bwana Harusi Mtarajiwa anaonekana kwa watu Rasmi Hapa utaipenda tuu
Ilikuwa ni full happy
Weweeeeee.............................
Teh Pozi la Bwana harusi Mtarajiwa ni Sheedah
Utambulisho unaendelea
Sebastian na Judith wapambe wa Maharusi watarajiwa katika kiwango chao cha juu
Utawapenda tuu Ni Marafiki wa Ancilla hawa
wafanyakazi wenzake na Ancila katika ubora wao
wafanyakazi wenzake na Ancila katika ubora wao
wafanyakazi wenzake na Ancila katika ubora wao
Muda wa zawadi sasa hapa wazaa Chema wa Bi. Harusi mtarajiwa wakiwa wanaenda toa zawadi yao
Baba Mzazi wa Ancilla Mzee Mrema akikabidhi zawadi ... ukiona karatasi hilo wewe unajua kuna nini Benki
Muda wa zawadi bado
Wapambe nao wapo makini
kwakweli wafanyakazi wenzake na Ancila walipendezesha sherehe!
Akina kaka na Madogo nao sasa wanatoa zawadii
Wanapata ukodaki
Mashangazi katika ubora wao
Nao wakapata ukodaki
Zawadi kwa wazazi wa Ancilla
Wazazi wa Ancilla wakishukuru familia ya Baba Mdogo wake Ancilla kwa Marezi Bora kwa Binti yao
Zawadi ikatolewa
Baba Mdogo wa Ancilla Anthelim Mrema pamoja na Mke wake wakipata ukodaki na Binti yao Bibi Harusi Mtarajiwa
Kapu la mama
Asanteni kwa kuja sasa tunaondoka
Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla Akiwa katika ubora wake
Hivi ndivyo Ukumbi ulivyo waka..
Msimamizi wa Ancilla Judith Daniel
Burudani ikiendelea Ukumbini
Huu ndio Mwonekano wa ukumbi wa River side
Maids wakiwa wametangulia kabla ya bibi harusi mtarajiwa hajaingia Ukumbini
Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla akiingia ukumbini
Wakisalimia
Kwa Heshima na Taadhima Ancilla akingojea Maelekezo
Bado wakiwa wanangoja maelekezo
Ukafika wakati wa Kufungua Shampen kila mtu anatazama tukio linaendaje
Wanawasiliana kidogo na msimamizi wake
Wanaendelea kungoja hapa Shampeni ifunguliwe Kushoto Ancilla Akigonga Cheers na Mpambe wake Judith
Cheers hapa na pale
Muda wa kuikata keki Sasa anaendelea Kukata Keki pamoja na Mpambe wake
Kushoto ni Baba Mzazi wa Acilla na Mama Mzazi wakiwa katika Sherehe ya Kumuaga mtoto wao.
Wa kwanza kulia ni Mama Mzazi wa Sillah Mbuya na wa Kati kati ni Baba Mzazi wa Sillah Mbuya Mzee Mbuya
Picha kidogo ya Kumbukumbu
Mwenyekiti wa kamati akitoa neno
Keki zikasambazwa .... Mc Makame akitoa maelekezo kwa Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla
Ancilla akitambulisha upande wa Familia yake
Wazazi wakipunga Mkono
Utambulisho ukiendelea
Baba na Mama Sillah Mbuya wakitambulishwa
Utambulisho kwa upande wa Bwana Harusi ukiendelea
Bibi Harusi Mtarajiwa Ancilla akifurahi pamoja na Kamati nzito
Bwana Harusi Mtarajiwa Sillah Mbuya akiwa pamoja na Mpambe wake Sebastian Haya sasa ndo hivyo Bwana Harusi Mtarajiwa anaonekana kwa watu Rasmi Hapa utaipenda tuu
Ilikuwa ni full happy
Weweeeeee.............................
Teh Pozi la Bwana harusi Mtarajiwa ni Sheedah
Utambulisho unaendelea
Sebastian na Judith wapambe wa Maharusi watarajiwa katika kiwango chao cha juu
Utawapenda tuu Ni Marafiki wa Ancilla hawa
wafanyakazi wenzake na Ancila katika ubora wao
wafanyakazi wenzake na Ancila katika ubora wao
wafanyakazi wenzake na Ancila katika ubora wao
Muda wa zawadi sasa hapa wazaa Chema wa Bi. Harusi mtarajiwa wakiwa wanaenda toa zawadi yao
Baba Mzazi wa Ancilla Mzee Mrema akikabidhi zawadi ... ukiona karatasi hilo wewe unajua kuna nini Benki
Muda wa zawadi bado
Wapambe nao wapo makini
kwakweli wafanyakazi wenzake na Ancila walipendezesha sherehe!
Akina kaka na Madogo nao sasa wanatoa zawadii
Wanapata ukodaki
Mashangazi katika ubora wao
Nao wakapata ukodaki
Zawadi kwa wazazi wa Ancilla
Wazazi wa Ancilla wakishukuru familia ya Baba Mdogo wake Ancilla kwa Marezi Bora kwa Binti yao
Zawadi ikatolewa
Baba Mdogo wa Ancilla Anthelim Mrema pamoja na Mke wake wakipata ukodaki na Binti yao Bibi Harusi Mtarajiwa
Kapu la mama
Asanteni kwa kuja sasa tunaondoka
Sasa wanaondoka kwa hakika tukio lilikuwa la Kihistoria
No comments:
Post a Comment