Social Icons

Featured Posts

Tuesday 15 May 2018

KWESE FREE SPORTS TANZANIA (TV1) NA TBC KUONESHA BURE, MUBASHARA 'LIVE' KOMBE LA DUNIA (2018), BUREE BILA KULIPIA.

KFS Tanzania imetangaza rasmi leo kuwa ndio kituo pekee nchini kitakachorusha matangazo ya michuano ya Kombe la Dunia 2018 (FiFA World Cup 2018) bure inayotarajiwa kuanza tarehe 14 Juni 2018 na kumalizika tarehe 15 Julai 2018 nchini Urusi. 

KFS Tanzania wakishirikiana na kituo cha Televisheni cha TBC watarusha matangazo hayo moja kwa moja.
Kutakuwa na mechi 32 zikiwemo zote zitakazochezwa na timu za Afrika, Robo Fainali, Nusu Fainali pamoja na Mechi za mwisho ya Fainali,hii si ya kuikosa hata kidogo.

KFS inapatikana kupitia King'amuzi cha Startimes Chanel 103, Continental Chanel namba 07 na Ting Chanel namba 36
Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt. Ayub Rioba(Kulia) akisaini Mkataba wa makubaliano kati ya KWESE free Sports (TV1) na TBC kuonesha Kombe la Dunia kuanzia Juni 14,2018

Tuesday 10 April 2018

HERI YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA BLOGGER CATHBERT KAJUNA

Leo Aprili 10 ni siku ya kuzaliwa kwa Journalist/Photojournalist na Blogger Cathbert Angelo Kajuna mmiliki wa Kajunason Blog (www.kajunason.com) na Mwandishi/Mpigapicha wa MMG.

Thursday 5 April 2018

WANAMABADILIKO WASAIDIA KUPUNGUZA UKATILI WA KIJINSIA WILAYANI TARIME

"Shemeji zangu walikuwa sita walinipiga sana kwa kweli kwa sababu ya kutaka kumiliki Mali za Mume wangu ambaye ni Marehemu" , ni mmoja ya wanawake wa Tarime akisimlia  kwa masikitiko kutokana na ukatili alioupata baada ya kufiwa na mumewe, ambapo ndugu wa mume alilazimisha kumrithi yeye na mali za mumewe. Mila kama hizi zinazomkandamiza mwanamke zinapaswa kusitishwa 

Wanahabari Watakiwa Kufanya Utafiti wa Habari Zao


Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mmoja wa Waandishi wa Habari aliyefanya vizuri katika mafunzo hayo, Adelina Bosco wakati wa kufunga mafunzo ya Waandishi wa Habari yaliyotolewa na Wakfu wa Tasnia ya Habari Tanzania (TMF) juu ya usalama barabarani pamoja na masuala ya maendeleo.Ufungaji huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam.

Wednesday 4 April 2018

FRUITS AND VEGETABLES ARE KEY ANGLES TO FOOD SAFETY


Food safety is one of the most important angle of human survival, Scientific research over the last decades has shown that a diet rich in fruits and vegetables is protective against many cancers and lowers the occurrence of coronary heart disease. This has contributed to substantial increase in consumption of fresh fruits and vegetables.

Monday 19 March 2018

FASTJET YAWEZESHA MADAKTARI KUSAFIRI KUTOA HUDUMA YA AFYA YA KINYWA NA MENO BURE KWA WANANCHI WILAYANI TARIME

 AQ6A7818.jpg
 Baadhi ya Madaktari watoa huduma ya meno na kimywa  pamoja na  watumishi wa Fastjet wakiwa wamewasili jijini Mwanza wakitokea Dar es salaam.

Tuesday 13 March 2018

DKT.ABBAS APONGEZA UTAFITI ULIOFANYWA NA MISA TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA CPESA


Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbas,akizungumza na Maafisa Habari, Asasi za Kiraia pamoja na  waandishi wa habari  wakati kupokea taarifa ya   mrejesho wa utafiti uloiofanywa na MISA Tanzania kwa kushirikiana na CIPESA

Monday 5 March 2018

TUTAENDELEZA UTALII WA PICHA KATIKA PORI LA AKIBA BURIGI - DK. KIGWANGALLA, WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII


Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akiangalia Twiga katika fukwe za ziwa Burigi ndani ya Pori la Akiba Burigi mkoani Kagera.

Thursday 1 March 2018

PRIVATE SECTOR ASSOCIATIONS AND CIVIL SOCIETY ORGANISATIONS CEO`S MEET TO DISCUSS SUSTAINABLE DEVELOPMENT GOALS (SGD'S) IN DAR ES SALAAM




SOME participants of a one-day workshop display the Sustainable Development Goals placards during the discussion with the theme ‘the Role of Private Sector Associations, Civil Society Organizations and Media in Sustainable Development in Tanzania organized by UNDP in collaboration with Global Compact Local Network Tanzania in Dar es Salaam February 28 2018. (Photos by Robert Okanda Blogs)

Tuesday 27 February 2018

MAENEO YA KITALII YANAYOPATIKANA KUSINI MWA TANZANIA



Na Jumia Travel Tanzania

Miongoni mwa maeneo ya kitalii ambayo hayapewi kipaumbele au kutokuwa maarufu ni pamoja na Kusini mwa Tanzania. Tofauti na vivutio vya kitalii vya kanda ya Kaskazini kuwa maarufu kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi za Serengeti na Ngorongoro, kuna uwezekano mkubwa kwamba Kusini mwa Tanzania kuna hazina kubwa ya vivutio kwa watalii ambavyo havitangazwi au kuvumbuliwa na wengi.

Miongoni mwa sababu ambazo zimekuwa zikikwamisha shughuli za kitalii kwa ukanda wa Kusini ni pamoja na miundominu hafifu kama vile barabara, viwanja vya ndege ambavyo hupelekea maeneo hayo kufikika kwa ugumu pamoja na upungufu wa malazi kama vile hoteli za kisasa na zinazokidhi vigezo.


Thursday 22 February 2018

"Dunia inawaangusha watoto wachanga"- UNICEF



Photo Credit UNICEF Website
Duniani kote, vifo vya watoto wachanga bado viko juu sana kiasi cha kuwa tishio, hasa miongoni mwa nchi maskini zaidi ulimwenguni, UNICEF imesema katika ripoti yake mpya kuhusu vifo vya watoto iliyozinduliwa leo mjini New York. Ripoti hiyo imebainisha kuwa watoto wanaozaliwa katika nchi za Japani, Iceland na Singapore wana nafasi kubwa zaidi ya kuishi, wakati wale wanaozaliwa katika nchi za Pakistani, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Afghanistani wanakabiliana na hatma mbaya kabisa ya maisha yao.


Tuesday 20 February 2018

DKT. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BODI YA UTALII (TTB)



 Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na uongozi wa bodi hiyo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza mapema leo tarehe 20 Februari, 2018.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
...........................................................................

Waziri wa Maliasili na Utaliii, Dkt. Hamisi Kigwangalla leo Februari 20, 2018, amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Makao makuu ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Jijini Dar es Salaam na kuitaka kufanya kazi kwa kasi na ubunifu zaidi.

Friday 16 February 2018

EU YAIPATIA TANZANIA MABILIONI YA PESA KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO


Umoja wa Ulaya (EU) umeipatia serikali ya Tanzania msaada wa Euro Milioni 4.5 (Tsh. 12 Bilioni) ili kufanikisha miradi mikubwa mitatu ya sekta ya kilimo ambayo inatekelezwa kupitia Mpango wa Kuendeleza Kilimo Ukanda wa Kusini mwa Tanzania (SAGCOT).