Social Icons

Thursday, 24 November 2011

MPIGANAJI JERRY MURO AOA

BAADA ya misukosuko ya kuandamwa na skendo ya kesi ya rushwa, hatimaye mtangazaji mwenye jina kubwa Bongo, Jerry Cornel Muro amefunga ndoa ya kifahari jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linairusha hewani ‘laivu’ bila chenga.






Katika Ibada takatifu kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Azania Front jijini Dar es Salaam, Jumapili iliyopita Jerry alikula kiapo cha ndoa alipofunga pingu za maisha na Jennifer John mwenye asili ya Uingereza.


No comments: