Inaungana na watanzania wote kwa kutoa pole na salam za rambi rambi kwa wahangwawaliopatwa na maafa ya mafuriko ya maji mkoa wa Dar-es-salaam.Maafa hayo yalisababishwa na mvua kubwa,yamepoteza maisha ya watu na kusababisha uharibifu mkubwa wa makazi ya jamii na mali zao,pamoja na barabara mkoani Dar-es-salaam.
Tunaotoa pole kwa wahangwa wote,Mwenyezi Mungu atupe uvumilivu na mshikamano katika kipindi hiki kigumu.
Umoja ni Nguvu
www.ngoma-africa.com
No comments:
Post a Comment