Nimekaa nikiwaza sana mpaka naituma picha hii, mtoto huyu amekaa hapa anawaza hajui hatima yake ya mawazo itaishia wapi wakati wengine wanaishi vema kabisa bila tatizo.. ni vema kufikiria jinsi ya kuwasaidia watoto kama hawa kulipo kuendelea kula maisha tuu. Tafakari kisha chukua hatua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment