Social Icons

Saturday, 18 February 2012

KABLA YA MECHI KATI YA YANGA NA ZAMALECK...MAMBO YALIKUWA HIVI




Watu wangu akiwa tayari kufanya majamboz na si wengine bali kikosi cha Yanga


Kikosi cha Zameleck nacho kikiwa kamili





Dakika ya kumi na saba kuelekea kumi na nane na mchezo ni wa kasi na wenye kuvutia uwanjani hapo. Pichani ni moja ya hatari langoni mwa timu ya Yanga ila mpaka sasa hakuna timu iliyoweza kuona lango la mwenzake.








Washabiki wa Yanga wamefurika uwanjani hapo








Washabiki wa timu ya Simba na watani wetu wajadi Simba nao wamo ila leo sijui wanamshabikia nani??



Picha kwa hisani ya Michuzi Blog











No comments: