Social Icons

Thursday, 17 May 2012

MAJONZI ZAIDI YATAWALA KATIKA MSIBA WA KIFO CHA MCHEZAJI WA SIMBA MAFISANGO

Gari aina ya Toyota Cresta lenye namba za usajili T 387 BMZ alilokuwa akiendesha Mafisango.
Haruna Moshi 'Boban' akiwa na simanzi baada ya kifo cha mwenzake.
Emmanuel Okwi (kulia) nae alifika Muhimbili baada ya tukio hilo.
Uhuru Seleman wa Simba akilia kwa huzuni baada ya kufika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. 
Kiungo wa Yanga na mchezaji wa timu ya taifa ya Rwanda, Haruna Niyonzima akiwa na majonzi kwa kifo cha mwenzake anayetokea Rwanda pia.
Kwa hisani ya Global Publishers 

No comments: