Social Icons

Thursday, 17 May 2012

LEO TUTAZAME MAFANIKIO YA WASANII WA KWETU TANZANIA: MSANII JACQUELINE WOLPER AMILIKI MAGARI YA KIFAHARI , NI PAMOJA NA BMW TSH MIL.170


Jacqueline Masawe ‘Wolper’.
Gari analotumia Wolper BMW X6 lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 170.…

Gari analotumia Wolper BMW X6 lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 170.
Wolper  akiwa ndani ya BMW X6 yake.
BMW X6 ya Wolper kwa nyuma.
Toyota Harrier Lexus lenye thamani ya Sh. milioni 25 ambalo linatumika kuwapeleka wadogo zake Wolper shuleni.
Toyota Noah lenye thamani ya Sh. milioni 18 analotumia Wolper kwenye kazi zake za filamu.

No comments: