Social Icons

Saturday, 7 July 2012

Fredy Tony na Matukio ya hapa na Pale....

 Kwa mbele kabisa Huko  ni Jiji la Kuala Lumpur full green mpaka 
 Hapa Lile Gogo linalo tembea bila Dereva linawasili eneo la Tukio
 Mitaa ya kati Mujini
 Hapa ndani ya China town 
 Hapa watu kibao kutoka maeneo mbalimbali wakiwa ndani ya China Town kufanya ma Shopping 
 Kama kawa usipo muweka Waziri mkuu hapoJuu imekula kwako
 Nilipata nafasi ya Kukamua Picha ndani ya China Town 
 Hiki kitu cha usafiri kinatupeleka kona kibao
 Huu mtaa si wa Biashara kwa hiyo wadau si wengi 
 Huu msikiti Bwana upo poa sana watu kibao wana jiachia kulala bureee 
 Hapa swaga zinaendelea sasa nipo kitaa kama kawa ndani ya Gogo na hapa Mdada yupo bize na Ping Ping
 Twin Towers nimezipiga umbali wa kama kilometa kumi 
Hapa nipo ndani ya Basi narejea skani baada ya mizunguko
 Huyu Jamaa anaitwa Jerry 
Huu ndio Mtaa ninao ishi yaani familia moja ina magari zaidi ya ma nne full mashindano
Hii nimepiga nikiwa nyumbani kwangu 
Matukio ya hapa na pale yataendelea 

No comments: