Social Icons

Thursday, 12 July 2012

Kamera ya Blog yangu katika kona mbalimbali kama kawa, hii ilikuwa maeneo ya Vikwangua anga .

 Kona kibao na Maduka ya kila aina 

Inatakiwa ujipange vizuri maana Kuna bei sometime za kuumiza kichwa 

Hapa Nilipata nafasi ya kupiga ukodak mmoja 
 Hatua chache ni Nje ya Pavilion ambapo kulikuwa na kamvua kiainaa watalii tukawa tumejibanza kungoja ipungue 
 Hii ni sehemu ambayo watu kibao wanapata ukodak 
 Ok Hata mimi pia nilipata nafasi ya kupata ukodak katika eneo hili 
Du hapa nilipita na Kuingia Duka hili kuulizia bei za hiyo kitu duu.. ilikuwa balaa

Baada ya hapo nikajichanganya ndani ya KLCC ambapo ndiko kwenye Twin Towers, Hapa asilimia kubwa wanao onekana ni Tourist wamekuja kwenye ma Shopee na kushangaa.
 Kama panavyo onekana hapa maduka kibao kwenda mbele 
 Nilipata nafasi ya kupata ukodak wa nguvu ndani ya Kuala Lumpur City Centre katika mjengo wa Twin Towers 
 Hapa watalii kibao wanapata ukodak nje ya jengo la twin towers huko mbele ni Vishika ukuta 
 Kama kawa sikuwa nyuma nami nikapata ukodak wangu wa nguvu 
 Hivi Ndivyo Twin Towers zinavyo onekama kwa ukaribu ingawa nilipiga picha kwa juu sana 
Haya maji wadau kibao wanayapenda kupigia picha hapa hasa nyakati za jioni

Takuwa naleta tukio kadili navyo vinjali hapa na pale 

No comments: