Social Icons

Tuesday 24 July 2012

Video hii kali sana :Ushuuda Fake Makanisani Kumbe Wachungaji Huwalipa Wanaotoa Ushuhuda,Ili waonekane wana upako



Kufuatia upekuzi uliofanyiwa kasisi wa kanisa la Fire Gospel Ministries, mengi yamefichuka kuhusiana na yanayojiri katika kanisa hilo. Kasisi wake Michael Njoroge inadaiwa huwaombea watu ili kuwakomboa kutokana na matatizo mbalimbali yakiwemo magonjwa. Huduma hizo hazitolewi bure zinalipiwa katika kile kinachoitwa mbegu zipandwazo na hao waumini wa kanisa hilo. Na kama anavyotuarifu Lolani Kalu, ndani ya kanisa hili huwa kuna jazba za hali ya juu na vitimbi vya kila aina katika itikadi ya kipekee.
Bongo flava link


No comments: