No | MUDA | TUKIO | MHUSIKA |
1 | 1:00-…….. | Waombolezaji kuwasili nyumbani kwa marehemu | Kamati yya mapokezi na Itifaki |
2 | 2:00-2:45 | Kisomo cha wanaume | Wanafamilia |
3 | 2:45-3:30 | Mwili wa marehemu kuwasili nyumbani | Kamati ya mazishi na familia. |
4 | 3:30- 5:00 | Salamu za pole kutoka kwa viongozi, ndg na jamaa | Kamati ya Itifaki |
5 | 5:00- 6:00 | Sadaka ya chakula | Wote |
6 | 6:00-6:15 | Nasaha toka kwa viongozi wa dini | Mashekhe |
7 | 6:15 | Mwili kuondoka nyumbani kuelekea msikitini | Kamati ya itifaki, usafiri na mazishi. |
8 | 6:15-6:30 | Kisomo cha kinamama | Kinamama |
9 | 6:30 – 7:30 | Mwili kuwasili msikitini na swala ya kuswalia maiti | Kamati ya mazishi na wahusika wa msikiti |
10 | 7:30…… | Mazishi | Shekhe na watu wote. |
11 | Shukrani za mazishi na mwisho. | Familia na viongozi wa dini |
Imetolewa na kamati ya mazishi.
Ahsanteni kwa ushirikiano

No comments:
Post a Comment