ANY WAY.. Ilikuwa kama matani vile lakini pia nikajiamini kama naweza lakini ndio ivyo nikaweza.. ebwana eeeh ... jamaa akanipa uhusika hapa kama Presenter kwa makini kabisa ndani ya Studio za Tone Radio Tz... ebwana ishu ilikuwa poa sana na nilicheza hapo... Tazama video hii kwa makini utajua nini nazungumzia.. Sar Frenje kumbe yumo duu.... So Next time mimi takuwa ndiye namwaga mistari kama vipi cheki hiki kideo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment