Hehe hapa nipo kipande cha nonde juu kabisa juu.yani kupata picha.ya jiji la mbeya na uzuri wake hakika ilikuwa mzinga wa tour
Nikiwa katika pick flan kuelekea iziwa hapa ni mlimani weraa mbeya hiyoo
Usicheze na kamera man ww
Hii ilikua mzinga wa moja.ya tour weeeh
No comments:
Post a Comment