Naibu
Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake, Mh.
Dkt. Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo
pichani) nyumbani kwake Segerea mwisho jijini Dar es salaam, wakati
akitangaza kujiondoa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga
na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo Jumapili Agosti 2,
2015.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment