Ikiwa una Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo au Habari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com.
#TANZIA
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe pamoja Kapteni William Silaa
ambaye ni baba yake Jerry Silaa, wamefariki dunia katika ajali ya
helkopta iliyotokea jana jioni kwenye msitu wa Selous.
Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo.Fuatilia taarifa zetu tutakujuza zaidi.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo.Fuatilia taarifa zetu tutakujuza zaidi.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Chanzo:ITV
No comments:
Post a Comment