Social Icons

Thursday 8 October 2015

DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP

Ikiwa una Tukiko lolote au Habari yoyote usisite kutumia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com


Idhaa ya kiswahili ya DW hapa nchini inapenda kuwataarifu kuwa Wapendwa wake na watumiaji wa ukurasa wetu wa Facebook na wasikilizaji kwa jumla.


Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.

No comments: