Ikiwa una Tukiko lolote au Habari yoyote usisite kutumia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Madaktari, wauguzi na viongozi wa
Hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor Atiman wakati
alipokagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11,
2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baadhi ya wagonjwa wakati alipotembelea
hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor Atiman wakati
alipkagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11,
2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
No comments:
Post a Comment