Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @officialfredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Rais Dkt John Pombe Joseph
Magufuli akionesha umahiri wake wa kutumia Cherahani na kushona nguo za
wafanyakazi wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kuvifahamu vitengo
mbalimbali vya Ikulu jijini Dar es salaam Januari 20, 2016
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kushona kwa ustadi wa hali ya juu.
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimalizia moja ya nguo za wafanyakazi wa Ikulu.
No comments:
Post a Comment