Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @officialfredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Msafara
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli ukipita katika eneo la Msamvu mjini Morogoro kuelekea Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa Msamvu mjini Morogoro wakati akiwa njiani
kuelekea Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa Wami dakawa mkoani Morogoro wakati akiwa njiani
kuelekea Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa eneo la Magole mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiangalia ukarabati unaondelea katika barabara kuu ya Morogoro-Dodoma
eneo la Kibaigwa . sehemu ya barabara hiyo inakarabatiwa chini ya
usimamizi wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment