Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Rais
Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete
akizungumzana na wadau mbilimbali wa mpira wa kikapu (NBA) juu ya Timu
bora nane kutoka kila kundi zitakazofuzu kushiriki kweye ngazi ya
mitoano Oktoba 2016. Timu bora mbili kutoka kila kundi zitakutana
kwenye michezo kuwania ubingwa ili kumpata Bingwa wa kwanza wa ligi ya
mpira wa kikapu kwa vijana, katika uzinduzi wa Ligi ya Mpira wa kikapu
ya vijana,leo jijini Dar es Salaam.
Rais
Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete
akizinduwa Ligi ya Mpira wa kikapu ya vijana (Junior NBA),leo jijini Dar
es Salaam.
Rais
Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali, leo jijini Dar es
Salaam.
Rais Mstaafu DKT. Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Mchezaji Mwandamizi wa (WNBA) Allison Feaster, leo jijini Dar es Salaam
Sehemu
ya mashabiki wa Mpira wa kikapu walio fika katika uzinduzi wa Ligi
ya Mpira wa kikapu ya vijana,leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)
No comments:
Post a Comment