Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Balozi mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini
Kuwait Mahadhi Juma Maalim leo alipofika Ikulu Mjini Unguja
kujitambulisha
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na
Balozi mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait Mahadhi
Juma Maalim leo alipofika Ikulu Mjini Unguja kujitambulisha,[Picha na
Ikulu.]
No comments:
Post a Comment