Social Icons

Wednesday 24 February 2016

RAIS WA ZANZIBAR AKUTANA BALOZI MTEULE WA KUWAIT

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
 
 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait Mahadhi Juma Maalim leo alipofika Ikulu Mjini Unguja kujitambulisha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza  na Balozi mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Kuwait Mahadhi Juma Maalim leo alipofika Ikulu Mjini Unguja kujitambulisha,[Picha na Ikulu.]

No comments: