Social Icons

Wednesday 24 February 2016

TPA kutekeleza mradi mkubwa wa mifumo ya Ulinzi na Usalama kwa njia ya kielekrtoniki

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje


MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BADNARI TANZANIA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

MamlakayaUsimamiziwaBandari Tanzania (TPA) inatekelezamradimkubwawamifumoyaUlinzinaUsalamakwanjiayakielekrtonikiilikudhibitiusalamawabandarizakemajininanchikavukimtandao.
MradihuuwakielektronikiunajulikanakamaIntergrated Security
System (ISS)unakusanyamifumombalimbaliyaulinzinaunafadhiliwana TPA kwagharamayashs. bilioni 9.800.
Mradihuumkubwawaulinziunahusuufungajiwa CCTV cameras, ujenziwachumba cha kuongozeamitamboyoteya ISS, ufungajiwataanaminarayakepembezonimwaukutawabandari, ufungajiwanyayambalimbali, ufungajiwa ‘License Plate Number’ ambaposasamagariyoteyanayoingiabandariniyatakuwayanasomwanakurekodiwanambazakezausajili, ujenziwa gate house kwenyemageti, ufungajiwa radiation detectors na ‘access control system’.
Jumlaya CCTV cameras 486 zitafungwaambapompakasasajumlaya camera 246 zimeshafungwanakuanzakutumikana camera 144 zilizobakiufungaji wake unategemewakukamilikamweziMachimwakahuuwa 2016.
Kamerahizizitasaidiakuionabandariyoteya Dar es Salaam mpakakwenyeboya la mafuta la SPM Mjimwema,kutokeakwenyechumbakimojaambachokamerahizozinafungwanahivyokuwezeshakunasatukiololote la uhalifuambalolinatokeakatikaeneohusika.
Mradipiaunahusuuboreshajiwamilangoyakuingiandaniyabandariambapomagetimaalumyakisasayanaendeleakufungwailikudhibitiuingiajindaniyaeneohilinyeti. Katikamagetihayawaingiajiwatakaowezakuingiani wale tuwenyevibali au vitambulishomaalumambavyomitamboitawezakuvitambuakielektronikivitambulishohivyoikiwemowafanyakazinawatumiajiwabandari.
MitamboitakayofungwakatikamagetihayaitakuwanauwezowakusomanambazamagariyoteyanayoingiabandarininakumbukumbuzakekubakikatikakumbukumbuzaMamlaka.
Ufungajiwataanaminarayakepembezonimwaukutawabandaringuzozimeshasimikwanataazinaendeleakufungwa.
Kukamilikakwamradihuukutaboreshakwakiasikikubwausalamawabandari, malizaMamlakanamizigoyawatejanahivyokuwaongezeaimaniwatumiajiwabandarikwambamalizaonisalamakatikabandariza Tanzania.
Mwisho….


ImetolewanaMamlakayaUsimamiziwaBandari Tanzania (TPA)


JanethRuzangi (Bibi)
MENEJA MAWASILIANO






                                                           


No comments: