Ikiwa unataka tengenezewa Blog,
Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari
yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe
fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter
@Fredynjeje
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, wakati waziri Mwalimu alipofika Ofisini kwa
Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo March 04,2016 Kwa ajili ya
mazungumzo ya kikazi.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, wakati waziri Mwalimu alipofika Ofisini kwa
Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo March 04,2016 Kwa ajili ya
mazungumzo ya kikazi. (Picha na OMR)
No comments:
Post a Comment