Social Icons

Wednesday 16 March 2016

TCRA YAADHIMISHA SIKU ZA HAKI YA WATUMIAJI WA HUDUMA ULIMWENGUNI JIJINI DAR

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Ally Simba akihutubia washiriki wa semina hawapo pichani wakati akifunga semina, siku ya watumiaji wa huduma Ulimwenguni.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano upande wa sekta ya Mawasiliano Dkt. Maria Sasabo, akihutubia kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano katika ufunguzi wa semina ya siku ya haki za watumiaji wa huduma Ulimwenguni.
 Baadhi ya washiriki wa semina wakimsikiliza mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano upande wa sekta ya Mawasiliano Dkt. Maria Sasabo hayupo pichani siku ya watumiaji wa huduma Ulimwenguni  inayoadhimishwa tarehe 15 Machi, ya kila Mwaka.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano upande wa sekta ya Mawasiliano Dkt. Maria Sasabo (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Ally Simba (kushoto) siku ya watumiaji wa huduma Ulimwenguni.
Michuzi Media 

No comments: