Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen, Mbazi Msuya akifuatilia hoja za wajumbe wa Kikao
cha Wataalam kutoka Wizara, Idara na Taasisi za serikali (hawapo
pichani), walipokutana kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha Kamati ya
Taifa ya Uratibu wa maafa nchini (TANDREC), tarehe 15 Machi, 2016, Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen, Mbazi Msuya akiwaongoza wajumbe kupitia
makabrasha ya Kikao cha Wataalam kutoka Wizara, Idara na Taasisi za
serikali walipokutana kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha Kamati ya
Taifa ya Uratibu wa maafa nchini (TANDREC), tarehe 15 Machi, 2016, Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, ambaye pia ni Kamishna wa Operesheni, Rogatius Kipali akipitia makabrasha ya Kikao
cha Wataalam kutoka Wizara, Idara na Taasisi za serikali walipokutana
kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha Kamati ya Taifa ya Uratibu wa maafa
nchini (TANDREC), tarehe 15 Machi, 2016, Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wataalam
kutoka Wizara, Idara na Taasisi za serikali wakipitia makabrasha ya
kikao walipokutana kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha Kamati ya Taifa
ya Uratibu wa maafa nchini (TANDREC), Jijini Dar es Salaam, tarehe 15
Machi, 2016.
Afisa Maafa wa Jeshi la Wananchi, Kanali Mohamed Mwakalikene akipitia makabrasha ya Kikao
cha Wataalam kutoka Wizara, Idara na Taasisi za serikali walipokutana
kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha Kamati ya Taifa ya Uratibu wa maafa
nchini (TANDREC), tarehe 15 Machi, 2016, Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wataalam
kutoka Wizara, Idara na Taasisi za serikali wakipitia makabrasha ya
kikao walipokutana kwa ajili ya maandalizi ya kikao cha Kamati ya Taifa
ya Uratibu wa maafa nchini (TANDREC), Jijini Dar es Salaam, tarehe 15
Machi, 2016.
(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment