Gari
aina ya DCM linalofanya safari zake kati ya Gongo la Mboto na Masaki
jijini Dar es Salaam likiwa limeinuliwa baada ya kupinduka leo mchana
eneo la Kipawa Njia Panda ya Jet Lumo.
Chanzo
cha ajali hiyo kinadaiwa ni kumkwepa mwendesha baiskeli. Watu kadhaa
wanadaiwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamelazwa katika
hospitali za Amana na Muhimbili. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Wananchi wakiliangalia paa la gari hilo lililokatwa kwa kupata urahisi wa kuwatoa majeruhi waliokuwemo kwenye gari hilo
Lenzi
ya jicho la blog ya ujijirahaa ilipata kuona katika ajali hiyo kitu
kinacho sadikika ni hirizi iliyokua juu ya Gari hilo imeshonwa kwa nyuzi
nyeusi iliyovishwa kitambaa cheusi
Gari hilo likitarajiwa kuvutwa kuondolewa eneo la tukio
No comments:
Post a Comment