Hapa nikipata ukodaki wa Nguvu kabisa wakati wa Usiku wa Tigo Burudani ambapo hawa jamaa wabunifu sana walikuwa wanazindua michezo minne inayopatikana katika Simu yako ya kiganjani wakishirikiana na Huawei
Anaitwa Clants Mwantepele Mzee wa Fursa wa kwanza kulia hapa akitoa maelekezo kwa wadau Sky walker na Hassby jinsi ya hizi Games zinavyofanya kazi.
Team Bloggers in the Building Meeen kutoka kushoto ni Father Kidevu, Mie mwenyewe, Kajuna na Mzee wa Mwanaharakati mzalendo aka Kikaragosi
Huu ukodaki wangu wa nguvu kabisa na mtu wangu wa karibu mwana
Huo ndio muonekano wa eneo hilo la Highspirit ambapo ilikuwa ni Bowmber Mbaya
Picha na Fredy Njeje
No comments:
Post a Comment