Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Watu wanajiuliza hawa Kiboko wamewahi waona wapi? Jibu lipo jepesi sana wapo sehemu inaitwa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi , Nilipiga picha hii nilipo tembelea Maeneo hayo hivi karibuni.
Picha na Fredy Njeje
No comments:
Post a Comment