Social Icons

Monday 22 August 2016

HONGERA KOMREDI DAVID MANOTI KWA KUUAGA UKAPERA

Bwana Harusi David Saire Manoti akiwa na Mke wake mpenzi Nezia Manumbu  Baada ya Kufunga Pingu za Maisha katika Kanisa la St. Peters Jijini Dar
Maharusi wakiwa katika Ibada ya ndoa yao Takatifu
 Bwana na Bibi David Saire Manoti wakipata Picha za ukumbusho katika Ufukwe wa Bahari ya Hindi
 Maharusi wakipata Picha ya pamoja na Wasimamizi wao
Maharusi wakipata picha  na wasimamizi wao pamoja na wasindikizaji walionogesha Harusi hiyo 
 Bwana na Bibi Harusi David na Nezia wakiingia ndani ya ukumbi wa Law School
Bwana harusi David Manoti akiwa na shangwe wakati anaingia ukumbini 
 Kamati kuu ya Maandalizi wakitangaza zawadi yao kwa Maharusi
Ulifika muda wa kuzifungua Champagne, huku kila mmoja aliyekuwa nayo mkononi akifungua kwa mbwembwe zake 
 Baadhi ya wageni waalikwa wakiendelea kumiminiwa Champagne kabla ya kufanya Cheers ili kutakiana heri
 Maharusi wakipeleka Keki upande wa Bibi Harusi Familia ya akina Manumbu ikiwa ni  ishara ya shukurani
 Maharusi wakipeleka keki katika familia ya Bwana Harusi Saire Manoti ikiwa ni ishara ya Shukurani
 Maharusi wakilishana keki
 Wazazi upande wa Bibi Harusi wakiongozwa na mama mzazi wa Nezia kutoa zawadi ya Familia
Wazazi upande wa Bwana Harusi wakiongozwa na Mama Mzazi wa David wakitangaza zawadi yao
Wageni waalikwa wakiwa katika Harusi ya Bwana na Bibi David Manoti
 Baadhi ya Marafiki wakiwa katika harusi ya David na Nezia
Burudani ikiiendelea ...
Picha zote na Fredy Njeje.

No comments: