Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @fredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
|
Vikundi vya ngoma na matarumbeta vikitumbuiza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere kwa ajili ya kumpokea Mfalme wa Morocco Mhe. Mohammed VI 23/10/2016 Jijini Dar es Salaam. |
|
Baadhi wa viongozi na wadau mbalimbali kutoka nje ya nchi wakiwa katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere kwa ajili ya
kumpokea Mfalme wa Morocco Mhe. Mohammed VI 23/10/2016 aliyewasili kwa ajili ya ziara ya siku tatu Jijini Dar es
Salaam. |
|
Ndege iliyombeba Mfalme wa Morocco Mhe. Mohammed VI ikiwasili katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 Jijini Dar
es Salaam.
|
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (kulia) akielekea kumpokea mgeni wake
Mfalme wa Morocco Mhe. Mohammed VI mara baada ya Mfalme huyo kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu
Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ajili ya ziara ya siku tatu ya kikazi Jijini
Dar es Salaam.
|
|
Mfalme wa Morocco Mhe. Mohammed VI
(aliyetangulia mbele) akishuka katika Ndege mara alipowasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ajili ya ziara ya siku
tatu ya kikazi Jijini Dar es Salaam.
|
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mfalme wa Morocco Mhe.
Mohammed VI (wanaonekana katikati) wakiongozana kwenda jukwaani baada ya Mfalme
huyo kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere
23/10/2016 kwa ajili ya ziara ya siku tatu ya kikazi Jijini Dar es Salaam.
|
|
Mfalme wa Morocco Mhe.
Mohammed VI (aliyevaa kanzu) akiwa jukwaani pamoja na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kupokea heshima na kupigiwa mizinga 21 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere
23/10/2016 Jijini Dar es Salaam.
|
|
Mfalme wa Morocco Mhe.
Mohammed VI (aliyevaa kanzu) akiwa jukwaani pamoja na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kupigiwa mizinga 21 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere
23/10/2016 Jijini Dar es Salaam. |
|
Mfalme wa Morocco Mhe. Mohammed VI
(wa pili kulia) pamoja na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wakiangalia vikundi vya ngoma vikivyotumbuiza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ajili ya ziara ya siku tatu ya
kikazi Jijini Dar es Salaam.
|
|
Mfalme wa Morocco Mhe. Mohammed VI
(wa pili kulia) akiwapungia mkono baadhi ya Viongozi pamoja na wacheza ngoma mbalimbali waliokuja kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 Jijini Dar es Salaam. |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mfalme wa Morocco Mhe.
Mohammed VI wakifurahia ngoma mara baada ya Mfalme huyo kuwasili katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ajili ya
ziara ya siku tatu ya kikazi Jijini Dar es Salaam.
|
(Picha zote na Benedict Liwenga-WHUSM)
No comments:
Post a Comment