Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
akisindikizwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja
wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa tayari kwa safari ya
kwenda Nairobi, Kenya kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili leo Oktoba
31, 2016
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment