Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. JohnPombe Magufuli
akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Manuel
Olveira Guterres (katikati) wakati alipokuwa kwenye mojawapo yavikao vya
Umoja wa Afrika (AU) vinavyofanyika katika Makao makuu yakemjini Addis
Ababa nchini Ethipia. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais wa Kenya Uhuru
Kenyatta wakati alipokuwa kwenye mojawapo ya vikao vya Umoja wa Afrika
(AU) vinavyofanyika katika Makao makuu yake mjini Addis Ababa nchini
Ethipia.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment