Eeh kwanza nisiseme sana ingia hapa JESTINA GEORGE BLOG Jionee wewe mwenyewee jinsi mambo yake yanavyo kwenda.
Si Blogger tuu lakini ni Mwanamitindo mzuri tuu sana....
Pichani ndiye Mwanadada Jestina George ambaye leo anatimiza Miaka kadhaa tangu alipo Zaliwa ..
Sitapenda kusema Mengi sanaaa nitakuchosha msomaji wangu wa nguvu sana, naungana na wadau wote kukutakia maisha marefu zaidi na afya njema... Mwaka huu uwe mwaka wako.
1 comment:
Asante sana kaka Fredy Mapenzi tele kwako
Post a Comment