Social Icons

Sunday 28 April 2013

Hivi ni kweli Wanaume huvutiwa kufanya mapenzi na rafiki za wake zao? Soma hapa




 Photo: Wanaume huvutiwa kufanya mapenzi na rafiki za wake zao

Tafiti nyingi duniani zimegundua kuwapo na msukumo na mhemko wa tamaa za ngono kwa wanaume. Majibu kadha wa kadha ya tafiti hizo yamekuwa yakitoa majibu sawa, ikiwemo suala la maumbile ya mwanamume na namna anavyompokea mwanamke yoyote machoni pake.

“Rafiki yangu wa karibu niliyempokea na kumtafutia kazi nchini Marekani alinisaliti kwa kutembea na mume wangu,” anaanza kwa kusema Christina Edward (34) (siyo jina lake kamili) Mtanzania anayeishi katika Jimbo la Houston Texas nchini Marekani.

Christina anasema haikumuwia rahisi kung’amua tukio hilo la aibu, mpaka alipotonywa na jirani yake ambaye hakuwa na ukaribu naye. “Jirani yangu aliwaona, akanipa taarifa za usaliti huo. Nilifuatilia kwa muda mrefu na kuwakuta wakiwa katika flat (nyumba) anayoishi rafiki yangu huyo iliniuma sana, mpaka leo siwezi sahau tukio lile japo miezi kadhaa imepita sasa nahisi aibu kila wakati,” Huyu ni mmoja kati ya mamilioni ya wanawake duniani wanaokumbana na adha za namna hii. Mwananchi liliwafanyia mahojiano baadhi ya wanasaikolojia ambao walithibitisha kuwapo na ukubwa wa tatizo hilo hapa nchini, wakilinganisha kesi wanazozipokea zinazohusiana na usaliti wa waume na wake waliopo ndani ya ndoa.

Kauli ya wataalamuwa saikolojia
Mwanasaikolojia na Mkurugenzi wa Kliniki ya NEHOTA inayotoa huduma ya ushauri iliyopo Makongo Juu jijini, Dk Bonaventura Balige anasema japo tafiti kadhaa zimefanyika, lakini Tanzania hakuna utafiti uliofanyika mpaka sasa, ila anakubaliana na tafiti za nje kulingana na kesi anazozipokea na uzoefu wake katika maisha ya kawaida.

“Nakubaliana na tafiti zilizowahi kufanyika nje, kituo changu kimepokea kesi kadhaa kama hizo na zifananazo na hizo. Mara nyingi tunapopokea kesi huwashauri kwanza kutafuta chanzo cha tatizo. Stress (msongo wa mawazo) ndiyo huwa chanzo cha wanaume walio wengi kujikuta wakiingia katika vitendo hivyo.”

Anasema msongo wa mawazo kwa wanaume husababishwa na vitu vingi, ikiwamo kazini, mtaani au nyumbani kwake, mwanamke asipokuwa makini hujikuta familia yake ikiwa mashakani.

Dk Balige anasema amepokea kesi zaidi ya tatu zilizohusu mume kuwa na uhusiano ya kimapenzi na rafiki wa mkewe, lakini pia amepokea kesi zaidi ya nne za waume kutembea na wafanyakazi wa ndani wa kike wake zao wakiwa kazini.

Hata hivyo amewahi kupokea kesi kadhaa za wake kutembea na rafiki za waume zao. huku lukuki zikiwa ni usaliti katika ndoa.
“Licha ya kuumbwa hivyo mwanamume huyu ana uwezo wa kupenda mwanamke mmoja tu, ila kinachomfanya awe na wanawake wengi ni tamaa.

Wapo wanaoweza kudhibiti tamaa zao, lakini wengine ni vigumu. Dk Balige anasema kuwa mwanamume akishindwa kuhimili mhemko wa mwili wake, huwa chanzo cha kuharibu uchumi wa familia na mwishowe huishia kutelekeza familia “wanawake nao wanatumia udhaifu wa wanaume katika kuchuma pesa, hivyo mwanamume asipoweza kuzisimamia hisia zake hujikuta akitelekeza familia,” anasema.

Mwanasaikolojia Jaykesh Rathid mwenye asili ya Asia aliyefungua ofisi inayotoa huduma ya ushauri maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam anasema, wanaume wana kawaida ya kutongoza wanawake waliowazoea wakiwamo rafiki za wake zao kwa kuwa huwawia rahisi wakati wa kujieleza. “Mara chache sana mwanamume kutongoza mwanamke anayekutana naye kwa mara ya kwanza.

Waume wengi hawana kawaida hiyo hasa waliooa, kwanza hufikiria mtu anayetongoza hamfahamu kiundani huenda anaweza kuwa ndugu au mtu wa karibu na mkewe, huona afadhali kwa mtu anayemjua au anayefanya naye kazi ofisi moja,” anasema Jaykesh. Jaykesh anasema kiashiria huwa sababu ya kwanza kwa mtu kufanya kitendo hicho “kabla rafiki wa mke hajafanya kosa hilo, mara nyingi mwanamume au yeye mwanamke huonyesha ishara ya kumpenda mhusika, na kwa kuwa anafahamu baadhi ya mambo kupitia kwa mkewe, humwia rahisi kujua mbinu zipi atumie kumpata,” anasema.

Anasema mwanamume ameumbwa na tamaa “Hii isipothibitiwa na mke mwanamume atatoka nje, kesi nyingi napokea hapa ni watu wa karibu, inaweza kuwa rafiki wa mke, msichana wa kazi za ndani au mtu anayefanya naye ofisini au maeneo mengine ya kazi.”

Kisa na mkasa halisikilichowahi kutokea
Kisa cha Christina, Mtanzania aliyeolewa na raia wa Marekani kilitokana na kumpa uhuru rafiki yake aliyemwamini kuwa anaweza kuwa mlinzi mzuri katika nyumba yake kwa kipindi anachotafuta kazi, huku yeye akifanya kazi shifti ya usiku.

“Nilimlipia nauli ya ndege kutoka Tanzania baada ya miezi mitatu alifanikiwa kupata chuo na kazi. Mbadala wake alihama harakaharaka. Mawasiliano yalikuwa ya mbali mpaka nilipopata taarifa kuwa ananichukulia mume.”

Edina aliyekataa kutaja jina lake la pili anasema alizoeana na mpangaji mwenzake kwa muda mrefu na kuwa marafiki. Baadaye aligundua alikuwa na uhusiano na mumewe.

“Nilimwona kama msiri wangu alikuwa akinieleza habari zake nami nilimweleza zangu kwa kuwa wote tuliishi na waume. Lakini mumewe akisafiri alikuwa akiondoka mida ya jioni na mume wangu alichelewa kurudi nyumbani. Baadaye niligundua kuwa ananichukulia mume baada ya kuzikuta meseji za mapenzi kwenye simu ya mume wangu.”

Munira anasema aliolewa kwa ndoa ya kikristo. Lakini ndoa hiyo iliingia shubiri baada ya msimamizi wa ndoa yao kuanza kutoka na mumewe “Kesi ilikuwa nzito japokuwa hatukufanikiwa kupata ushahidi, lakini tuliwafumania wakiwa hotelini pamoja wakipata chakula cha usiku. Kesi hii ilinguruma kwa muda mrefu mpaka tulipowaona washauri ndipo tatizo hili liliisha.Binti mwingine anasimulia kisa kilichomkuta miaka miwili iliyopita baada ya kuachana na rafiki yake wa kiume (boyfriend) baada ya uhusiano wao kuingiliwa na rafiki yake wa karibu.

Hata hivyo, Salum mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es Salaam yeye anasema mkewe aliwahi kumfumania akiwa na mwanamke mwingine “Mke wangu alinifumania nikiwa na mwanamke mwingine niliyemfahamu kupitia yeye japo hawakuwa marafiki, alinisamehe, lakini katu sidhani kama ninaweza kuvumilia nikimfumania mke wangu,” anasema Salum.

Tafiti nyingine
Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani mwaka huu umebaini kuwa wanaume huwa na mawazo ya kufanya ngono na marafiki wa wake zao, huku baadhi yao wakifanikiwa kutimiza ndoto zao.

Chuo Kikuu cha Utafiti cha Missouri kimegundua kwamba wanaume huwaweka wake zao kundi moja na rafiki zao, hivyo hupelekea kumtamani huku baadhi yao wakiridhishana kimapenzi. Mawazo hayo hupelekea kuanza kuonyesha viashiria vya mapenzi ambapo mwanamume hujitahidi kuwa na ukaribu zaidi na mtu huyo.

“Ingawaje wanaume wengi wana nafasi kubwa ya kufanya ngono na rafiki za wake zao, uwezekano wa maazimio ya jambo hilo ni mdogo,” anasema kiongozi wa utafiti huo, profesa Mark Flinn.
Tafiti nyingi duniani zimegundua kuwapo na msukumo na mhemko wa tamaa za ngono kwa wanaume. Majibu kadha wa kadha ya tafiti hizo yamekuwa yakitoa majibu sawa, ikiwemo suala la maumbile ya mwanamume na namna anavyompokea mwanamke yoyote machoni pake.

“Rafiki yangu wa karibu niliyempokea na kumtafutia kazi nchini Marekani alinisaliti kwa kutembea na mume wangu,” anaanza kwa kusema Christina Edward (34) (siyo jina lake kamili) Mtanzania anayeishi katika Jimbo la Houston Texas nchini Marekani.

Christina anasema haikumuwia rahisi kung’amua tukio hilo la aibu, mpaka alipotonywa na jirani yake ambaye hakuwa na ukaribu naye. “Jirani yangu aliwaona, akanipa taarifa za usaliti huo. Nilifuatilia kwa muda mrefu na kuwakuta wakiwa katika flat (nyumba) anayoishi rafiki yangu huyo iliniuma sana, mpaka leo siwezi sahau tukio lile japo miezi kadhaa imepita sasa nahisi aibu kila wakati,” Huyu ni mmoja kati ya mamilioni ya wanawake duniani wanaokumbana na adha za namna hii. Mwananchi liliwafanyia mahojiano baadhi ya wanasaikolojia ambao walithibitisha kuwapo na ukubwa wa tatizo hilo hapa nchini, wakilinganisha kesi wanazozipokea zinazohusiana na usaliti wa waume na wake waliopo ndani ya ndoa.

Kauli ya wataalamuwa saikolojia
Mwanasaikolojia na Mkurugenzi wa Kliniki ya NEHOTA inayotoa huduma ya ushauri iliyopo Makongo Juu jijini, Dk Bonaventura Balige anasema japo tafiti kadhaa zimefanyika, lakini Tanzania hakuna utafiti uliofanyika mpaka sasa, ila anakubaliana na tafiti za nje kulingana na kesi anazozipokea na uzoefu wake katika maisha ya kawaida.

“Nakubaliana na tafiti zilizowahi kufanyika nje, kituo changu kimepokea kesi kadhaa kama hizo na zifananazo na hizo. Mara nyingi tunapopokea kesi huwashauri kwanza kutafuta chanzo cha tatizo. Stress (msongo wa mawazo) ndiyo huwa chanzo cha wanaume walio wengi kujikuta wakiingia katika vitendo hivyo.”

Anasema msongo wa mawazo kwa wanaume husababishwa na vitu vingi, ikiwamo kazini, mtaani au nyumbani kwake, mwanamke asipokuwa makini hujikuta familia yake ikiwa mashakani.

Dk Balige anasema amepokea kesi zaidi ya tatu zilizohusu mume kuwa na uhusiano ya kimapenzi na rafiki wa mkewe, lakini pia amepokea kesi zaidi ya nne za waume kutembea na wafanyakazi wa ndani wa kike wake zao wakiwa kazini.

Hata hivyo amewahi kupokea kesi kadhaa za wake kutembea na rafiki za waume zao. huku lukuki zikiwa ni usaliti katika ndoa.
“Licha ya kuumbwa hivyo mwanamume huyu ana uwezo wa kupenda mwanamke mmoja tu, ila kinachomfanya awe na wanawake wengi ni tamaa.

Wapo wanaoweza kudhibiti tamaa zao, lakini wengine ni vigumu. Dk Balige anasema kuwa mwanamume akishindwa kuhimili mhemko wa mwili wake, huwa chanzo cha kuharibu uchumi wa familia na mwishowe huishia kutelekeza familia “wanawake nao wanatumia udhaifu wa wanaume katika kuchuma pesa, hivyo mwanamume asipoweza kuzisimamia hisia zake hujikuta akitelekeza familia,” anasema.

Mwanasaikolojia Jaykesh Rathid mwenye asili ya Asia aliyefungua ofisi inayotoa huduma ya ushauri maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam anasema, wanaume wana kawaida ya kutongoza wanawake waliowazoea wakiwamo rafiki za wake zao kwa kuwa huwawia rahisi wakati wa kujieleza. “Mara chache sana mwanamume kutongoza mwanamke anayekutana naye kwa mara ya kwanza.

Waume wengi hawana kawaida hiyo hasa waliooa, kwanza hufikiria mtu anayetongoza hamfahamu kiundani huenda anaweza kuwa ndugu au mtu wa karibu na mkewe, huona afadhali kwa mtu anayemjua au anayefanya naye kazi ofisi moja,” anasema Jaykesh. Jaykesh anasema kiashiria huwa sababu ya kwanza kwa mtu kufanya kitendo hicho “kabla rafiki wa mke hajafanya kosa hilo, mara nyingi mwanamume au yeye mwanamke huonyesha ishara ya kumpenda mhusika, na kwa kuwa anafahamu baadhi ya mambo kupitia kwa mkewe, humwia rahisi kujua mbinu zipi atumie kumpata,” anasema.

Anasema mwanamume ameumbwa na tamaa “Hii isipothibitiwa na mke mwanamume atatoka nje, kesi nyingi napokea hapa ni watu wa karibu, inaweza kuwa rafiki wa mke, msichana wa kazi za ndani au mtu anayefanya naye ofisini au maeneo mengine ya kazi.”

Kisa na mkasa halisikilichowahi kutokea
Kisa cha Christina, Mtanzania aliyeolewa na raia wa Marekani kilitokana na kumpa uhuru rafiki yake aliyemwamini kuwa anaweza kuwa mlinzi mzuri katika nyumba yake kwa kipindi anachotafuta kazi, huku yeye akifanya kazi shifti ya usiku.

“Nilimlipia nauli ya ndege kutoka Tanzania baada ya miezi mitatu alifanikiwa kupata chuo na kazi. Mbadala wake alihama harakaharaka. Mawasiliano yalikuwa ya mbali mpaka nilipopata taarifa kuwa ananichukulia mume.”

Edina aliyekataa kutaja jina lake la pili anasema alizoeana na mpangaji mwenzake kwa muda mrefu na kuwa marafiki. Baadaye aligundua alikuwa na uhusiano na mumewe.

“Nilimwona kama msiri wangu alikuwa akinieleza habari zake nami nilimweleza zangu kwa kuwa wote tuliishi na waume. Lakini mumewe akisafiri alikuwa akiondoka mida ya jioni na mume wangu alichelewa kurudi nyumbani. Baadaye niligundua kuwa ananichukulia mume baada ya kuzikuta meseji za mapenzi kwenye simu ya mume wangu.”

Munira anasema aliolewa kwa ndoa ya kikristo. Lakini ndoa hiyo iliingia shubiri baada ya msimamizi wa ndoa yao kuanza kutoka na mumewe “Kesi ilikuwa nzito japokuwa hatukufanikiwa kupata ushahidi, lakini tuliwafumania wakiwa hotelini pamoja wakipata chakula cha usiku. Kesi hii ilinguruma kwa muda mrefu mpaka tulipowaona washauri ndipo tatizo hili liliisha.Binti mwingine anasimulia kisa kilichomkuta miaka miwili iliyopita baada ya kuachana na rafiki yake wa kiume (boyfriend) baada ya uhusiano wao kuingiliwa na rafiki yake wa karibu.

Hata hivyo, Salum mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es Salaam yeye anasema mkewe aliwahi kumfumania akiwa na mwanamke mwingine “Mke wangu alinifumania nikiwa na mwanamke mwingine niliyemfahamu kupitia yeye japo hawakuwa marafiki, alinisamehe, lakini katu sidhani kama ninaweza kuvumilia nikimfumania mke wangu,” anasema Salum.

Tafiti nyingine
Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani mwaka huu umebaini kuwa wanaume huwa na mawazo ya kufanya ngono na marafiki wa wake zao, huku baadhi yao wakifanikiwa kutimiza ndoto zao.

Chuo Kikuu cha Utafiti cha Missouri kimegundua kwamba wanaume huwaweka wake zao kundi moja na rafiki zao, hivyo hupelekea kumtamani huku baadhi yao wakiridhishana kimapenzi. Mawazo hayo hupelekea kuanza kuonyesha viashiria vya mapenzi ambapo mwanamume hujitahidi kuwa na ukaribu zaidi na mtu huyo.

“Ingawaje wanaume wengi wana nafasi kubwa ya kufanya ngono na rafiki za wake zao, uwezekano wa maazimio ya jambo hilo ni mdogo,” anasema kiongozi wa utafiti huo, profesa Mark Flinn.
Chanzo Habari leo

Monday 22 April 2013

HAYA NDIYO MAMBO 17 MUHIMU UNAYO TAKIWA KUYAFAHAMU KABLA HAUJAANZA KUTAFUTA KAZI



Job hunting is a daily exercise. Whether you get a good job, you will be hunting for another bigger job after a while. That is why I get shocked when people email us to unsubscribe from getting the latest jobs on their emails. Like I said above, job hunting does not stop because you got a job, it makes it easier. Now you have resources and access to information (internet) and even ........






1.   Tailor your resume to the position for which you are applying – include specific elements of the job description in your resume (make it easy for them to see that you are a good fit).



2.   Do not rely on a cover letter to explain why you are a fit. You may want to use it to explain reasons for relocation, but your skills and experience need to be evident within your customized resume. If anything, the cover letter may be used to weed you out.


3.   Do not apply for more than one position within one company: It creates the perception that you are not sure which position is best for you. We recommend applying to one but including a variety of skill sets on your resume so that you indicate you are qualified for more than one position.


4.   Keep everything positive in your resume and in your communication with the company. Don’t dwell on bad experiences, frustrations, or ineffective bosses. Talk about what you learned, why you are better for it and how you will leverage those experiences to make your new company successful.



5.   Honesty rules: Hiring managers and HR professionals will do informal reference checks with people they know at other firms and you do not want them to be surprised.


6.   Answer salary questions definitively and transparently: Do not try to circumvent these questions. Tell them specifically what you were making and what you are looking to make.


7.   Don’t be shy: let your personality come through in your answers. During an interview, you might be thrown some questions that are asked to assess how your brain works or to find out more about your personality.


8.   When accepting an offer, be enthusiastic: They want to hear the smile and excitement in your voice. This will lay the foundation of a very positive transition into your new company.



9.   Don’t engage in a counteroffer negotiations: You risk alienating yourself from the new hiring manager and your old company. Consider the offer and decide.


10. Being overqualified is a serious concern for companies, but the solution is not to remove things from your resume as it may create the perception of dishonesty.


11. End interviews with assertiveness and pro-activity: It is very appropriate to end interviews by asking “When would it be appropriate for me to follow-up?


12. Be prepared for behavioral interview questions: Come to the interview prepared with several anecdotes about challenges you have faced before and how you dealt with them. Demonstrate a positive and measurable result whenever possible.


13. Do your best to incorporate the firm’s core values into your interview responses.


14. Keep up your knowledge: Companies understand that people may have been out of work for extended periods of time in this economy. However, you must demonstrate your ability to stay current (seminars, certifications, etc.) and to get up to speed quickly.


15. LinkedIn is a recognized tool, but they disregard most of what they see, including recommendations. Be prepared to provide a supplemental reference sheet during interviews.


16. Identify and ease their pain. Ask hiring managers about “gaps in their department” to find out where their pain is and suggest how you can help ease that pain. They need to be sure they are hiring someone who can help with their issues. Ask good questions. Like, “What does success look like 6 months into this position?” and “What obstacles might I run into?”


17. Be careful with Facebook: they review these pages and screen people out as a result!


If you look at all the above, they seem like warnings but in real sense they are just ways in which you can help yourself find the exercise of job hunting very easy. You do not want to experience a hard time finding a job. Some of you might already be doing this but if you are not, then have these like 17 commandments.

ADVICE: What you should be doing if you’re UNEMPLOYED




Applying to jobs you’re not qualified for (which 50% of job seekers reportedly do!) is counter-productive to your job search. Competition is too fierce. Even qualified applicants aren’t getting callbacks.
So, stop applying to so many jobs and allocate time each week to becoming more hirable. Here’s how…
1. Volunteer
Volunteering can increase your chances of being hired if you’re strategic about it. Unemployed teacher? Help out with after school programs or volunteer to be a coach’s assistant. Web designer? Find a local non-profit in desperate need of a re-design and offer your services for free. By volunteering somewhere relevant, you’ll keep your skills fresh while enhancing your resume.
2. Keep Your Skills Current
If you lack a skill commonly required for jobs you’re seeking, spend time each day building that skill. Take advantage of numerous free resources online, including tutorials, e-books, and how-to videos. If you’d rather have more of a class setup, then look for free or affordable adult education classes in your area. Alternatively, if you already possess the necessary skills but haven’t been practicing, then do so. Skill atrophy is a huge concern for hiring managers, so practice and get yourself ready for pre-employment skills tests.
3. Network
There are two parts to networking: reconnecting with your old contacts and forming new ones. Depending on where you are in your career, reconnecting might mean contacting professors, college advisers, and internship supervisors, or it might mean getting in touch with old colleagues, bosses, and business acquaintances.
Find them, e-mail them, call them. Ask them to coffee. Ask how they are (networking is social, after all) and let them know the specifics of your job search (industry, location, etc.). See if they know of anything or anyone.
Most importantly, follow up!
At a temporary dead-end with your current contacts? Make new ones. Go to networking events sponsored by your university, industry, city, and so on. And look beyond traditional networking events. Consider going to lectures, neighborhood council meetings, even community bar crawls (go easy on the sauce). Each of these provides an opportunity to meet people with similar interests, and you can have fun in the process.
Again, follow up!
4. Freelance
Some job seekers are opposed to anything that’s not a full-time job. If this sounds like you, it’s time to change your mindset. Freelancing is a great way to boost your skills, resume, portfolio, professional network, income, and confidence. Search for freelance openings here.
5. Build An Online Presence
Get found online. Start a blog, spruce up your social network profiles, create an online portfolio to showcase your work. Find companies you’re interested in working for, subscribe to their blogs, and follow them on Facebook, LinkedIn, and Twitter. Find decision-makers at those companies and follow them as well. Learn what they’re talking about, do a little research, and then engage with them online. Impress them with your interest and insights.
Worst case scenario — you’ll learn what’s important to them and use this information to customize your application when a job opens up.
Better case scenario — you’ll establish a rapport with someone who will recommend you for a position and/or tell you about unpublished openings.
Best case scenario — you’ll impress someone so much over time that they’ll create a job for you or bring you in for an exploratory interview.
What are you doing to become more hireable?

KIJANA WA MIAKA 22 AMUUA MTOTO WA MIAKA 7 NA KUMLA



Eyong Oscar, 22, killed, roasted and ate the seven-year old class four pupil on April 1, 2013.
More than 7,000 curious onlookers held hostage the population of Egbekaw village in Mamfe, headquarter of Manyu Division, South West Region on Tuesday April 2, 2013 when news spread that a 22-year old youth, Eyong Oscar a.k.a Okoso, had killed and eaten up some parts of a seven-year old boy.
Oscar’s victim, a class four pupil, hailed from Fongo-Etonge, Dschang, West Region.
According to the Divisional Officer for Mamfe Central Sub Division, Ignatius Ekale Netonda, the regent chief of Egbekaw with some notables sought for the DO’s assistance after uncovering the crime. He mobilised the forces of law and order to the scene where mutilated human parts were discovered. The mutilated parts including a roasted skull were deposited at the Mamfe Mortuary after confirmation by a medical team.
A man-hunt was put in place immediately and ‘Okoso’ was tracked down by 4 pm on Wednesday April 3, 2013. He was whisked off to the Mamfe principal prison where he is detained and now awaiting trial pending investigation.
D.O. Ekale recalled that Eyong Oscar admitted committing the act, when quizzed by security operatives. He said he captured his victim at about 2 pm on that fateful Monday afternoon of April 1, 2013 after fooling his unsuspecting victim to follow him to fetch mangoes. Away now from sight, he strangled his victim, hid the corpse, came back home, collected a cutlass with which he used to butcher the corpse into small bits.
He roasted all of the meat, dried some and parceled it home for his feast.
At home, Oscar cooked and ate some of the flesh with “eru” which he bought but the skull was what was to bring him problems. It was not well dried so had started smelling. He told members of the family that his catch was a red deer and his sister’s insistence to see the red deer earned her a “snake beating”.
As he noticed unusual movement within his family circle, he hurriedly loaded the remaining flesh into a black polythene bag dumped it at a dust bin behind the house and disappeared.
In search of what was smelling, his parents stumbled on the scaring content of the bag in the refuse bin and alerted the village authorities who contacted the Administration. Oscar told his interviewers that he had his first contact with and eating human flesh in Nigeria when he ate human flesh disguised as dog meat.
He said after eating the human flesh in Nigeria, he was told he will have commanding power over human beings. Oscar’s ill-fated victim is reported to been sent by the father to buy a razor blade before he met his untimely end. The victims dress and pant and shoes were all discovered in Oscar’s home.
Meanwhile the ripped intestines have been buried in Egbekaw while the other parts have been taken to Fongo-Etonge-Dschang in the West Region for final burial.
Cameroon Tribune


STORY YA KUHUZUNISHA: WAPENZI WALIO POTEZANA KWA MIAKA 10 WARUDIANA NA MASAA 24 BAADAE WAFARIKI KATIKA AJALI



One of the most shocking stories of the tragic accident involving a Young Shall Grow luxurious bus and a Dangote cement truck was that of Nneka and Kenneth Ojielo, a couple who died in the accident. Theirs is a story that will bring tears to many eyes because Kenneth had not seen his wife in the last 10 years until Thursday, the day before they both perished in the explosion.
“My sister travelled to Lagos from Enugu on Wednesday. On Thursday, I took her to the airport to welcome her husband. No one could separate them when Kenneth eventually came out with his luggage. They kissed for about 15 minutes and everybody around just stood watching.”
Nneka’s younger brother, Ogonna Abako, told Punch that “Kenneth travelled to Austria in 2003 in search of greener pastures. Before he left, they already had five children. Their eldest child is 21.

“They actually got married very early. Kenneth was 26 years old when they got married while my sister was about 20 years old at the time. Everybody was joyous when we heard he was coming home."

A picture of the joyous reunion taken by Ogonna’s wife on her mobile phone at the airport showed a couple with much happiness written all over their faces.

But that joy was short-lived.


On Friday, they decided to travel to Enugu. Kenneth wanted to meet his children as soon as possible. The children too were ecstatic in Enugu as they kept calling, asking their father, whom they had not seen in the last 10 years, to get home on time.

Ogonna said, “I drove my sister and her husband to a hotel and lodged them there. The following day, I woke up early to take them to the bus park. We got to Jibowu and realised that the Ekene bus they wanted to take had already left.

I wanted them to take a smaller bus, but Kenneth insisted he would rather board the luxury bus.”

The couple held hands in the bus and prayed for journey mercies as Ogonna bid them farewell, not knowing it was for the last time. He said he called his sister’s phone at 3pm but it did not connect. He thought there was at network problem.

“When it was 6pm, my sister’s eldest child called and said she had not seen her parents. I then asked my brother to go to the Young Shall Grow park in Enugu. He was told there that only two of the company’s buses took off from Lagos that day, one from Maza Maza and one from Jibowu.

“Many families were waiting for their relations at the park too. The bus that took off from Maza Maza got to the park and that was when the passengers broke the news of the accident to waiting families. Those children will never see their father and mother again,” Abako said as he dabbed at his teary eyes.

Worse is the fact that their bodies cannot be claimed by their family members for burial as they were burnt beyond recognition and were therefore given a mass burial on Tuesday in Benin.

What a sad way to end their journey...all the 10 years hustle of the husband gone. So sad!

JE UNAZANI MPENZI ULIYE NAYE SASA NI SAHIHI? SOMA HAPA



During a seminar, a woman asked," How do I know if I am with the right person?"

The author then noticed that there was a large man sitting next to her so he said, "It depends. Is that your partner?" In all seriousness, she answered "How do you know?" Let me answer this question because the chances are good that it's weighing on your mind replied the author.

Here's the answer.

Every relationship has a cycle… In the beginning; you fall in love with your partner. You anticipate their calls, want their touch, and like their idiosyncrasies. Falling in love wasn't hard. In fact, it was a completely natural and spontaneous experience. You didn't have to DO anything. That's why it's called "falling" in love.

People in love sometimes say, "I was swept of my feet."Picture the expression. It implies that you were just standing there; doing nothing, and then something happened TO YOU.

Falling in love is a passive and spontaneous experience. But after a few months or years of being together, the euphoria of love fades. It's a natural cycle of EVERY relationship.

Slowly but surely, phone calls become a bother (if they come at all), touch is not always welcome (when it happens), and your spouse's idiosyncrasies, instead of being cute, drive you nuts. The symptoms of this stage vary with every relationship; you will notice a dramatic difference between the initial stage when you were in love and a much duller or even angry subsequent stage.

At this point, you and/or your partner might start asking, "Am I with the right person?" And as you reflect on the euphoria of the love you once had, you may begin to desire that experience with someone else. This is when relationships breakdown.

The key to succeeding in a relationship is not finding the right person; it's learning to love the person you found.

People blame their partners for their unhappiness and look outside for fulfillment. Extramarital fulfillment comes in all shapes and sizes.

Infidelity is the most common. But sometimes people turn to work, a hobby, friendship, excessive TV, or abusive substances. But the answer to this dilemma does NOT lie outside your relationship. It lies within it.

I'm not saying that you couldn't fall in love with someone else. You could. And TEMPORARILY you'd feel better. But you'd be in the same situation a few years later.

Because (listen carefully to this):

The key to succeeding in a Relationship is not finding the right person; it's learning to love the Person you found.

SUSTAINING love is not a passive or spontaneous experience. You have to work on it day in and day out. It takes time, effort, and energy. And most importantly, it demands WISDOM. You have to know WHAT TO DO to make it work. Make no mistake about it.

Love is NOT a mystery. There are specific things you can do (with or without your partner), Just as there are physical laws Of the universe (such as gravity), there are also laws for relationships. If you know how to apply these laws, the results are predictable.

Love is therefore a "decision". Not just a feeling.

Remember this always: God determines who walks into your life. It is up to you to decide who you let walk away, who you let stay, and who you refuse to let GO!

Sunday 21 April 2013

JE WAJUA?HII NDO DAWA YA KUONGEZA AKILI ISOME HAPA



Mtindo wa maisha, ulaji na msongo wa mawazo, vimewasababishia Watanzani wengi maradhi lukuki hata vifo.

Hata hivyo, wataalamu wa afya kutoka Afrika Kusini wamekuja na dawa maalumu, zilizo na uwezo wa kurudisha kumbukumbu, kuongeza upeo darasani, kuondoa sumu mwilini na kumfanya mzee kuonekana kijana.

Dawa hizo zinazotumia vitamini zilizomo kwenye vyakula vya kila siku, zina uwezo wa kuongeza kiwango cha uelewa kwa mwanafunzi au mfanyakazi.

Kiwango hicho cha uelewa kitaalamu unatambulika kama ‘IQ’.

Mratibu wa dawa hizo hapa nchini, John Haule anasema kuwa dawa hizo zina uwezo wa kufanya kazi kwa haraka.

“Virutubisho hivi ni vizuri kwa wale wanaokwenda katika mitihani au wanataka kufanya kazi inayohitaji umakini wa hali ya juu,” anasema Haule na kuongeza: “Zimetengenezwa kwa vyakula tunavyotumia na siyo kemikali.”

Haule ambaye ni mtaalamu wa tiba asili na mimea anasema kwamba mtindo wa maisha na vyakula vinavyoliwa na watu mara kwa mara kwa sasa huufanya mwili kuhifadhi sumu nyingi mwilini.

Anasema kuwa dawa hizo pia zina uwezo kuondoa sumu mwilini na kuufanya mwili wa binadamu kurejesha rangi yake halisi na kumeng’enya vizuri chakula anachokula.

Haule anayefanya kazi pamoja na Shirika la Nativa linalotengeneza dawa hizo la nchini Afrika Kusini, anaeleza kuwa tangu kuingiza dawa hizo nchini watu wengi wamejitokeza kuzihitaji.

Ofisa Uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Gaudensia Simwanza anasema kuwa mamlaka hiyo inazitambua dawa hizo kama virutubisho vya chakula, zimesajiliwa na ni salama kwa binadamu.

“Tuna taarifa kuwa bidhaa za ‘Go Woman’ na ‘Go Man’ zimesajiliwa na ni salama,” anasema.
Dawa nyingine zinazotengenezwa na kampuni hiyo zimetajwa kuwa na uwezo wa kuunda mifupa kwa watu wazima na majeraha ya wagonjwa wa kisukari.
“Ni vigumu kwa watu wazima wenye miaka 50 na kuendelea kupona haraka wanapopata ajali, lakini hizi dawa zinaponya majeraha na kuunga haraka mfupa,” anasema Haule.
Anasema kuwa kadri umri wa binadamu unavyoongezeka mwili wake unashindwa kuzalisha baadhi ya virutubisho vinavyoupa mwili uimara.
Dawa hizo zina mchanganyiko wa madini, vitamin, viondoa sumu pamoja na dawa za mitishamba.
Virutubisho vya chakula kwa kawaida hupungua ubora wake kwa sababu ya udongo, mionzi au kuweka vyakula hivyo katika majokofu.
Mambo mengine yanayofanya virutubisho vya chakula visifanye kazi yake sawasawa ni msongo wa mawazo na uchafu wa mazingira.
Ugonjwa wa kukosa raha na kusononeka kila wakati au sonona, pia unaweza kutibiwa kwa dawa hizo.
“Sonona inaua. Hata wataalamu wa afya wa nchi za Ulaya wamethibitisha, lakini dawa hii ina madini ya amino acidi ambayo hupatikana baada ya mtu kucheka,” anasema.
Anabainisha kwamba dawa hizo zina vitamin maalumu zinazoweza kuongeza kinga ya mwili na kuondoa sumu mwilini.
“Zina vitamin a, c na e, madini ya zinki na selenium na zina uwezo wa kuongeza nguvu ya mwili,” anasema.
Anadokeza kuwa kati ya dawa hizo, zipo pia dawa kwa ajili ya wanawake na wanaume pekee, zilizo na kazi maalumu.
Kwa mfano dawa ya wanawake ina uwezo wa kumsaidia mwanamke apate raha ya tendo la ndoa, inarutubisha nywele zake na kuzifanya zikue kwa haraka.
Vilevile, dawa hiyo inasaidia kuimarisha ngozi ya mwili kwa kuondoa sumu mwilini.
“Hii dawa kwa ajili ya wanawake ina Vitamini maalumu za kukuza nywele kama ‘Omega3 na Omega 6,’” anasema Haule.
Kwa upande wa wanaume, dawa hiyo itawasaidia kuongeza uwezo wa tendo la ndoa, kuimarisha mifupa pamoja na viungo.
Dawa zote mbili, yaani ile ya wanawake na ya wanaume zina uwezo wa kuimarisha ubongo na kumbukumbu.
Haule anaongeza kuwa ipo dawa kwa ajili ya wanawake wenye tatizo la kutokwa damu kwa wingi kunakosababishwa na hedhi au maradhi mengine.
Hata hivyo, Dk John Semkuya kutoka Hospitali ya Mwananyamala anasema kuwa ni vigumu mtu kupata tiba ya akili akiwa tayari ni mtu mzima, kwani uwezo wa kiakili unajengwa kuanzia utotoni.
“Lakini suala hili linahitaji utafiti zaidi kwa sababu kama hujafanya tafiti, huna haki ya kuzungumza,” anasema Dk Semkuya.
Anasema ikiwa virutubisho hivyo vya chakula vitatumiwa tangu utotoni basi vinakuwa na manufaa zaidi kuliko kutumiwa ukubwani.
Wagonjwa wa Ukimwi
Miongoni mwa dawa hizo ipo dawa ya ‘Life Gain’ mahususi kwa kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi.
Haule anasema kuwa kwa virutubisho vilivyo katika dawa hizo vina uwezo wa kupandisha kinga ya mwili kwa haraka, bila kumwathiri mgonjwa.
Mwananchi ilifanya mazungumzo na mwanamume mmoja mkazi wa Tandika (jina linahifadhiwa) anayeishi na VVU ambaye alitumia dawa ya Lifegain.
Mtu huyo alisema alikuwa hoi kwa maradhi, lakini baada ya kutumia dawa hiyo kwa muda wa wiki mbili, alinyanyuka na sasa anaendelea na shughuli zake za kawaida.

 MWANANCHI

Wednesday 17 April 2013

Leo ni Kumbu kumbu ya Mzee wetu Anthony Simon Njeje ambae anatimiza Miaka mitano Tangu alipo Fariki 17.04.2008 pamoja na matukio mbali mbali.




Marehemu Anthony Simon Njeje Enzi za uhai wake 
Marehemu Anthony S Njeje Akiwa na Familia yake enzi za uhai wake, yeye ni wa kwanza kushoto, Akifuatiwa na Dada wa kwanza Aninziye Njeje, Mama, Mtoto wa pili Ernest Luseshelo, na mimi Mwenyewe Fredy Njeje wakati nikifanya mahafari ya kumaliza Shahada ya kwanza.
 Hii ni Picha ya msalaba wa Marehemu
 Picha ambayo ipo katika Kaburi la Marehemu 
Picha ya Mama kushoto, Aliye chuchumaa anaitwa Sarehe na mimi tulipo tembelea Kaburi la marehemu


Sillas Mbuya siku alipo Tembelea Kaburi la Marehemu 
 Anthony JR akiwa na Mdogo wake Shikunzi siku walipo Tembelea kaburi la babu yao
 Mtoto Mkubwa wa Marehemu Aninziye Njeje akiwa na Mtoto wake Yasinta siku walipo tembelea Kaburi la Marehemu
 Kutoka Kushoto ni Ernest Luseshelo Njeje akiwa amempakata Alvin na Antony Jr, anaefuatia ni Aninziye akiwa amempakata Yasinta, wa tatu ni Shangazi Dada wa Marehemu akiwa amempakata Amerisa na wa mwisho ni Sarah Sichalwe Njeje. Walipo tembelea kaburi la marehemu
 *********

Ni miaka mitano sasa imepita tangu ulipo enda kwenye makao ya kudumu.Hatupo nawe kimwili lakinii kiroho upo nasi daima. Tunakukumbuka sana Baba yetu Mpendwa. Unakumbukwa sana na Mke wako Mpendwa Mama Elizabeth Anthony Njeje, Wanao Aninziye, Luseshelo-Ernest, Fredy na Sarah. Wajukuu zako Anthony Jr, Shikunzi-Alvin, Amarisa na Yasinta, Pia unakumbukwa na wafanyakazi wenzako, majirani zako, waumini wenzako, ndugu Jamaa na Marafiki. Sisi Tulikupenda sana lakinin Mungu alikupenda Zaidi. Jina la Bwana Libarikiwe.
AMEN