Social Icons

Monday, 14 May 2012

Simba yatolewa katika Mashindano na AL AHLY SHANDY kwa Penati 9 kwa 8

Hapa Kipindi cha Kwanza Mwishoni Ambapo Simba walikuwa wamezidiwa sana 
Mabadiriko yanafanyika kiasi hapa 
Mpira unaendelea ambapo waarabu wanazidi kuwa kaanga Simba 

Mchezaji wa AL AHLY akiwa ameumizwa 
Juma Kaseja akiwa anapiga mpira 
Muda mchache baada ya Mpira Kwisha 
Juma Kaseja akiokoa Hatari hapa baada ya kutaka kufungwa Goli la Nne
Hii ilikuwa penati ya Mwisho ambapo Juma Kaseja alipiga na kutolewa na Golikipa mwenzake
Picha zote na Mtandao huu

********
Katika mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Dar es salaam Simba ilishinda magoli 3-0 na kujiweka katika nafasi nzuri ili kusonga mbele katika michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho inayoandaliwa na Shirikisho la vyama vya mpira wa miguu Afrka (CAF) kabla ya kulinda ushindi wake mnono ilioupata jijini Dar es salaam kwa  kukubali kipigo hicho kilichowasukumiza nje ya mashindano hayo.  Al Ahly ilipata penati zote tano baada ya kushinda bao 3-0, na Simba walikosa penati mbili. 

No comments: