Social Icons

Friday 4 May 2012

STUDIO YA KISASA YA MIKE T IITWAYO FUTURE SOUND YAZIDI KUFANYA VIZURI JIJINI D'SALAAM



vifaa vya kisasa katika studio hii ya future sound


Kazi inaendelea katika studio hii ya kisasa mchana huu



Mkurungenzi mtendaji studio ya future sound msanii Mike T akiwa kazini leo ,

Studio hii ya future sound inapatikana eneo la Mwembechai jijini D'Salaam ambapo kazi kubwa zimekuwa zikifanyika kwa kuwainua wasanii
Picha na Francis Godwin 

No comments: