Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaitakia kila la kheri timu ya Simba
kwenye mechi yake ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Ahly
Shandy ya Sudan itakayochezwa Jumapili (Mei 13 mwaka huu).
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaitakia kila la kheri timu ya Simba
kwenye mechi yake ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Ahly
Shandy ya Sudan itakayochezwa Jumapili (Mei 13 mwaka huu).
Mechi
hiyo itachezwa katika mji wa Shandy kuanzia saa 2 kamili usiku kwa saa
za Afrika Mashariki. Simba inaondoka kesho kwenda huko kwa ndege ya
Kenya Airways.
hiyo itachezwa katika mji wa Shandy kuanzia saa 2 kamili usiku kwa saa
za Afrika Mashariki. Simba inaondoka kesho kwenda huko kwa ndege ya
Kenya Airways.
Msafara
wa timu hiyo utaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Hussein
Mwamba, na unatarajia kurejea nyumbani Mei 15 mwaka huu.
wa timu hiyo utaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Hussein
Mwamba, na unatarajia kurejea nyumbani Mei 15 mwaka huu.
Pia
TFF inaipongeza Simba kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya
Vodacom (VPL) ambayo Mei 6 mwaka huu ilifunga msimu wa 2011/2012.
TFF inaipongeza Simba kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya
Vodacom (VPL) ambayo Mei 6 mwaka huu ilifunga msimu wa 2011/2012.


No comments:
Post a Comment