Kwanza Kabisa unapo ingia hapa unakaribishwa na Mungu wao wa Kihindi ambae wametengeneza Bonge la Sanamu la Gold Polished.
Hapa ndio mwonekano wakati wa kujiandaa kuingia katika Caves, Ngazi hizo hapo juu zipo zaidi ya 270 ambapo unatakiwa kuzimaliza ndio ufike Pangoni
Muda Mchache baada ya mimi kuwasili katika eneo hilo
Hizi Ni baadhi ya Tempo ndogo za wahindi katika eneo hilo
Baadhi ya maeneo ya kuvutia sana katika eneo hilo
Kwa mbali sana ni muonekano wa pango hilo
Hapa sasa ni ndani ya pango hilo kubwa ambalo limesheena mambo kibao ya utamaduni wa kihindi
Baadhi ya Miungu ya wahindi
Nilipata kupiga picha katika moja ya miungu wakubwa wa Kihindi, katika tempo hiyo iliyopo Gombak
Nilipo kuwa huko naendelea na trip yangu nilikutana na Rafiki yangu anaitwa Bella nae alikuja katika mishe zake za kutazama tempo
Hapa pia kwa Wahindi wanajua ni baadhi ya Miungu yao wanayo iabudu
Watu kibao eneo hili hapa ambapo wamekuja kutembelea na kuona nini kinaendelea, hapa choka mbaya maana nawaza kushuka ngazi.
Huku ni Juu kabisa Pangoni ambapo kuna mambo kibao ambayo kwa kweli yanavutia sana.
Nyani pia wapo sana tuu lakini ni mabeste hawana shida na mtu
Hapa nilikuwa nje ya Bwawa ambapo kuna mambo kibao ndani wakiwemo samaki wa kila aina
Nikiwa kwa Tempo
Baada ya kuzunguka nilikutana na hii hapa sijui ina maanisha nini
Hii ni Moja ya sehemu ambayo wahindi hufika hapa na kuanza kuabudu
Kuna kitu kimoja kinafurahisaha sana hapa, hawa njiwa wapo wengi sana na hawaogopi watu kimeonekeana ni moja ya vivutio sana katika eneo hili nikaona vema nipate ukodak
Hapa Nilipata muda wa kufanya zoezi la kuabudu ingawa ilikuwa ngumu sana
Baada ya hapo nilimalizia Tripyangu hapa
****
No comments:
Post a Comment