Social Icons

Monday 27 August 2012

Sintah apima ngoma, majibu ayaweka kwenye website, majibu ni…….

"zoom ,,,,, tena zoom halafu hii ndio habari ya blue monday"

"Sisemi nao eeh,sisemi nao wanao comment mbofu mbofu kuhusu jlo,,
Waganda hapa wangesema nakowaaaaa, maana mtoto wa watu sili silali sihemi
sina la kusema zaidi, mimi huwa ninafanya vitendo tu,, Je wewe umepima? au kazi kushadadia ya watu,,, haya zueni balaa lengine hili naona mmeloana na macho yamewatoka kama fundi saa akiangalia mishale kama iko sawa.
Kama nawaona mlivyokuwa na hasira n comment lolest."

No comments: