Social Icons

Saturday 25 August 2012

Wadau daah: Libeneke wiki nzima napost wacha nami nile mapumziko kidogo.

 Daah!! Hapa ilikuwa baada ya kupiga Libeneke wiki nzima sasa nimeamua kula mapumziko
 Kama kawa mimi napenda sana kula Misosi , unajua Libeneke kazi kwa hiyo hapa nataka pata Misosi
 Kama kawa nilipata nafasi ya kuzunguka kitaa kunyoosha miguu
 Mara nyingi napenda sana kuingia changanyikeni kupumzika kuona watu mbali mbali na kupoteza mawazo.
Mie mpenzi wa Reggae  Music hivyo niliingia zangu Humo ndani kupumzika, na jamaa kibao.

Mwisho wadau, napenda kuwashukuru kwa kuendelea kutembelea Libeneke langu pamoja sana
Mimi Muhabarishaji wenu wa Blog Hii
Fredy Tony Njeje

No comments: