Yes nakumbuka sana enzi za Form one mpaka form four nimechora sana hizi picha za malavi davi valentine maua na mambo kama hayo. Huu hapa ni mfano wa maua nliyokuwa nikiwacholea watu.kibao akina Masache, Handel, Zawadi, Mbwilo , na wengine wengi jero tuu bonge la kadi anapata A4 .. So kipaji kilikuwa kinalipa sana.
Picha na Fredy Njeje
No comments:
Post a Comment