
Hatimaye
baraza kuu la Chadema limeridhia kusimama kwa muda kufanya kazi za
chama aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho Dr Wilbrod Slaa.

Aidha
Freeman Mbowe amekiri pia juu ya hofu iliyokwisha kutanda kwa viongozi,
wanachama na wapenzi wa chama hicho juu ya ujio wa baadhi ya vigogo
kutoka ndani ya chama cha mapinduzi CCM.
Kwa
upande wake kaimu katibu mkuu wa Chadema taifa Salum Mwalimu
akizungumza katika mkutano huo pamoja na masuala mengine amewataka
wanachama na wapenzi wa chama hicho kuahkikisha wanaunganisha nguvu hasa
katika kipindi cha uchaguzi.
Miongoni
mwa agenda kuu zilizojadiliwa katika baraza kuu la Chadema ni pamoja na
agenda ya kupitisha ilani ya chama hicho, kupendekeza majina ya
wagombea nafasi ya urais ikiwa ni pamoja na kuthibitisha mikakati na
rasilimali za kuendesha kampeni za uchaguzi mkuu.
No comments:
Post a Comment