 |
Baadhi
ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu
alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la
Gairo leo Morogoro.
|
 |
| Msafara wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan ukiwasili Gairo mkoani Morogoro. |
 |
| Mgombea
mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu
Hassan (wa pili kulia) akiwashukuru baadhi ya wananchi waliofika
kumpokea mpakani mwa Mkoa wa Dodoma na Morogoro alipokuwa akiwasili
kuanza ziara ya kampeni mkoani Morogoro leo. |
 |
| Mgombea
mwenza wa nafasi ya urais CCM, Bi. Suluhu (kushoto) akisalimiana na
baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Morogoro walipofika kupokea akitokea
mkoani Dodoma. Mgombea huyo ameanza ziara ya kampeni Mkoa wa Morogoro
leo. |
 |
| Baadhi
ya wananchi waliojitokeza kumpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu
alipowasili Mkoa wa Morogoro tayari kwa ziara ya kampeni. |
 |
| Baadhi
ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu
alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la
Gairo leo Morogoro. |
 |
| Baadhi
ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu
alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la
Gairo leo Morogoro. |
 |
| Baadhi
ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu
alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la
Gairo leo Morogoro. |
 |
| WanaCCM
na wananchi wengine wakiwa katika mkutano wa kwanza wa mgombea mwenza
wa CCM nafasi ya urais, Bi. Suluhu (hayupo pichani) katika Jimbo la
Gairo. |
 |
| WanaCCM
na wananchi wengine wakiwa katika mkutano wa kwanza wa mgombea mwenza
wa CCM nafasi ya urais, Bi. Suluhu (hayupo pichani) katika Jimbo la
Gairo. |
 |
| Mgombea
ubunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby akizungumza na wanaCCM na
wananchi waliofika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza nafasi ya
urais wa CCM. |
 |
| Mgombea
ubunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby (kulia) akizungumza jambo na
mgombea mwenza wa nafasi ya urais CCM, Bi. Suluhu katika mkutano wa
kampeni Gairo. |
 |
| Mbunge wa Afrika Mashariki, Angela Kiziga akizungumza katika mkutano wa kampeni wa CCM uliofanyika Jimbo la Gairo. |
 |
| Baadhi
ya vijana wakiwa wamepanda juu ya gari lililoegeswa ili kumuona mgombea
mwenza wa CCM, alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni Gairo. |
 |
| Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumpta Mshama akiwahutubia wanaCCM na wananchi wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro. |
 |
| Baadhi
ya wanachama wa CCM na wapenzi wa chama hicho wakimpokea mgombea mwenza
wa CCM, Bi. Samia Suluhu alipowasili katika Jimbo la Mvomero leo ambapo
alifanya mkutano wa kampeni. |
 |
| Mgombea ubunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby akiwahutubia wanaCCM na wananchi wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro. |
 |
| Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano wa mgombea mwenza wa CCM, alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni Gairo. |
 |
| CCM Oyeeeeeeee....! Mkutano Jimboni Gairo. |
 |
| Baadhi ya viongozi wa CCM (kulia) wakimpa zawadi ya sare kada mkogwe wa CCM Jimbo la Gairo. |
 |
| Wakereketwa na wanaCCM wakimpokea mgombea mwenza wa CCM Jimbo la Gairo. |
 |
| Wakereketwa na wanaCCM wakimpokea mgombea mwenza wa CCM Jimbo la Gairo. |
 |
| Mmoja
wa viongozi na makada wa Chadema wilaya ya Gairo (kushoto) akitangaza
kukihama chama hicho na kujiunga na CCM katika mkutano wa kampeni wa
mgombea mwenza, Bi. Samia Suluhu. |
 |
| Katibu
wa Chadema Wilaya ya Gairo, Yona Senyagwa (kushoto) akizungumza mara
baada ya kukabidhiwa kadi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katibu huyo
pamoja na makada wenzake wametangaza kukihama chama cha Chadema na
kujiunga na CCM leo. |
 |
| Bi. Samia Suluhu akiwa amesimamishwa na wananchi njiani alipokuwa akielekea Wilayani Kilosa kufanya mikutano ya kampeni. |
 |
| Kada
mkongwe wa Chadema Kata ya Dumila, Tegemea Mnhambo akitangaza kukihama
chama hicho na kujiunga na CCM katika mkutano wa kampeni wa mgombea
mwenza wa nafasi ya urais, Bi. Suluhu. |
 |
| WanaCCM na wananchi wakifuatilia mkutano wa kampeni juu ya gari lililoegeshwa. |
 |
| Wananchi na wapenzi wa CCM wakiwa wamemsimamisha mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu. |
 |
| WanaCCM na Wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM. |
 |
| Wakitumia mbinu mbadala kumlaki mgombea mwenza wa CCM |
 |
| Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Inspecta Harun akihamasisha wanaCCM na wananchi mkutano wa kampeni Jimbo la Mikumi. |
 |
| Mmoja wa makada wa Chadema waliojiunga na CCM, katika mkutano wa kampeni Jimbo la Mikumi akisalimia wananchi. |
 |
| Mgombea mwenza Bi. Suluhu akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni Jimbo la Mikumi. |
 |
| Mmoja
wa makada wa Chadema waliojiunga na CCM, katika mkutano wa kampeni
Jimbo la Mikumi akionesha kadi yake kabla ya kumkabidhi mgombea mwenza. |
 |
| Mgombea
mwenza Bi. Suluhu akimkabidhi kadi mmoja wa makada wa Chadema
waliojiunga na CCM, katika mkutano wa kampeni Jimbo la Mikumi. |
*Imeandaliwa na www.thehabari.com
No comments:
Post a Comment