Social Icons

Monday, 18 January 2016

NEWS ALERT: MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE (TAA) AMEFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI AKIFANYA MAZOEZI YA KUOGELEA

Ikiwa unataka tengenezewa Blog, Tukiko lolote la Harusi,Msiba, Mahafali, Tamasha, Matangazo auHabari yoyote usisite kututumia kupitia whatsapp 0765056399 au Barua Pepe fredynjeje@live.com. Follow me instagram @officialfredynjejeblog Twitter @Fredynjeje
Marehemu Suleman Said wakati wa uhai wake 

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) Suleiman Said amefariki akifanya mazoezi ya kuogelea 

Bwana  Suleiman alikuwa na utaratibu wa kuogelea kila siku asubuhi kabla ya kwenda kwenye shughuli zake mbali mbali.

Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika mapema


No comments: